Hivi ndoa na mahakama vinachangia vipi kudumisha au kudumaa kwa mapenzi?

Hivi ndoa na mahakama vinachangia vipi kudumisha au kudumaa kwa mapenzi?

environmental

JF-Expert Member
Joined
Oct 11, 2010
Posts
1,054
Reaction score
137
Wakati mapenzi yamehamishiwa kwenye makaratasi yanayoitwa cheti cha ndoa, inafika wakati mapezi yanaisha linabakia karatasi sasa kama unategemea karatasi lirudishe mapenzi mioyo yenu unafikiri itakuwa wapi. Naamini wanyama wana busara kuliko binadamu maana ulimwengu wa makaratasi wameuweka kando maisha yao yote.binadamu tulivyojitesa na makaratasi kuazia pesa mpaka hati za ardhi na nyumba, vitambulisho, akili zetu tunazoziamini zinatugharimu.
 
Nyumba ili iwe imara lazi ma iwe na msingi imara!
 
Wengi nawaona siku hz wanamalizia mambo yao huko!

Ngoja watakuja na majibu!
 
napita kwanza, ntarudi baadae,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,
 
Back
Top Bottom