Hivi NEC kusogeza mbele kura ya maoni imejenga au imebomoa!

Hivi NEC kusogeza mbele kura ya maoni imejenga au imebomoa!

bmbalamwezi

JF-Expert Member
Joined
Mar 12, 2015
Posts
788
Reaction score
195
Ndugu Mtanzania mwenzangu kumekuwepo na maoni tofauti katika JF na vyombo vingine vya habari kuanzia print na electronic kuhusu suala la kusogeza mbele kuara ya maoni. Binafsi naona NEC imekidhi matakwa ya walio wengi hasa wale ambao walikuwa hawajapata muda wa kuisoma katiba inayopendekezwa. Pia kwa upande wao nao wamepata muda wa kukamilisha zoezi la kuandikisha wapiga kura kwenye mfumo wa BVR. Lakini uwanja ni wenu leteni hoja zenye nguvu. Nawasilisha.
 
Hata wakisogeza mbele HTUITAKI mukapige na wake zenu. H A T U I T A K I.
 
Hata wakisogeza mbele HTUITAKI mukapige na wake zenu. H A T U I T A K I.
Ndugu Apple au Orange jibu hoja sio hicho ulichokisema. Sisi tunaitaka na tutaipigia kura ya Ndiyo haya sema jingine.:rockon:
 
soki unaonekana hata kuisoma hiyo katiba hujaisoma afu unasema huitaki, isome kwanza na uielewe
Tuisome katiba inayopendekezwa kwanza Ndio tuongee humu jf,alaf hili la kusogezwa mbele kwa kura ya maoni naona ni jambo jema tu kwa kuwa linaongeza zaidi nafasi ya watanzania kujisomea katiba inayopendekezwa na hivyo kuwaongezea zaidi wananchi uelewa kuhusu katiba yao
 
Back
Top Bottom