Hivi ni biashara gani hapa Tanzania una faida sana wadau

siku hizi nikiingia kwenye hili jukwaa nachefuka tu!
 

Hapo kwenye ushirika ndo changamoto inapoanzia, hakuna kuaminiana.
 
Hapo kwenye ushirika ndo changamoto inapoanzia, hakuna kuaminiana.

We either Live together or Die Alone....

Kama watu wanaweza wakatengeneza vikundi vya SACCOS, na wakakopana na kurudishiana pesa sidhani kama watu wakiamua watashindwa kutengeneza Corporations zitakazowasaidia kwenye masoko na kusindika bidhaa zao as well as as kununua mahitaji ya kilimo/ufugaji wao.. Ni ukweli usiopingika kwamba kwenye Tender kubwa kubwa watu wengi wanashindwa sababu hawawezi guarantee mzigo unaotakiwa kwa wakati unaotakiwa.., na hili watu wakiungana katika vikundi litawasaidia.., Umoja ni Nguvu...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…