Hivi ni biashara gani naweza kufanya kwa mtaji wa milioni 100?

Hii thread ina Miaka miwili,nadhani Hiyo 100m itakuwa ishakata.

Mi naomba aje kutupa mrejesho wa matumizi ya pesa yake, huwezi kujua anaweza kuwa mmoja wa mabilionea wa mjini, rafiki zake kaka mkubwa
 
Pikipiki sanlg cc125 na 150 mpya zinauzwa bei gani kwa dar na mwanza?
 
Pikipiki sanlg cc125 na 150 mpya zinauzwa bei gani kwa dar na mwanza?
Kwa Dar mara ya mwisho (6 weeks ago) nilipoulizia maeneo ya Kariakoo bei ilikuwa kama tzs 1,950,000. Kuna fursa maeneo gani?
 
Fanya shughuli za uzalishaji na kuongeza thamani. Biashara za kununua na kuuza sio rahisi kutoboa.
 

Nimependa mawazo yako!! Naomba unipatie mawazo zaid hasa katika fursa za kilimo na shughuli za addition value hasa katika mazao na kilimo kwa ujumla!!
NB: Bado nna mtaji mdogo unao range kwenye 500k-1mil!!
 
Njoo katika technology.... Kumiliki app, games, website and small buznes kama blog na adsense.... Nicheki 0713774746 tuyajadili vizuri
 
Njoo katika technology.... Kumiliki app, games, website and small buznes kama blog na adsense.... Nicheki 0713774746 tuyajadili vizuri

Mkuu nakuomba utoe ufanunuzi..
hivi ni faida gan hasa inapatikana kwa wanaomiliki apps and games...???Kwa sababu apps nyingi ni free...
 
Mkuu nakuomba utoe ufanunuzi..
hivi ni faida gan hasa inapatikana kwa wanaomiliki apps and games...???Kwa sababu apps nyingi ni free...

Through ads, traffic and mb unazotumia..,. Some times kununua locked features
 
Kwanza inabidi uwe mjanja na uwe unapenda games na app ... Ukiwa na milioni everything can go smooth.... But unaweza ukatengeneza just simple app mfano habari za udaku za wema sepetu tu ambayo inaweza kukucost payment zote za mwaka kama usd 250 lakini ukatengeneza pesa sana.... Na kuna vijana wengi wanazo hizo app mnaweza kuingia contract coz hawana pesa ya marketing
 
Biashara ni nyingi lakini lazima ufanye utafiti. Lenga hasa kwenye kitu unachokijua na kukipenda. Kama hupendi kukaa mbali na mjini usiingie kwenye kilimo kwa kuangalia namba. Angalia process ya kupata hiyo faida sio bottom figure tu. Tafuta unachokipenda, uko comfortable kufanya kisha pima uwezo wako kukifanya.
 

Utatengeneza pesa kivipi? Apps nyingi ziko free, utatumia hizo usd 250, je zitarudi vipi hizo pesa?
 
Kuna benki inatoa riba ya asilimia 14 kwa mwezi kwa hiyo mil 100 unapata riba ya mil 14 kila mwez na mil 100 inakua iko
 
Mi naomba aje kutupa mrejesho wa matumizi ya pesa yake, huwezi kujua anaweza kuwa mmoja wa mabilionea wa mjini, rafiki zake kaka mkubwa

Kupitia matangazo.... Traffic.... Mb used na kuweka premium features kwenye app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…