Halafu angalia sehemu yenye salon za kike na kiume hilo eneo liwe na mwingiliano mkubwa tafuta binti mwenye mwonekano fungua duka lenye vitu vifuatavyo ( Chonga kabati ya alminium humo utaweka sabuni wanazopenda wanawake kuogea na kunawia usoni, body spray za akina dada, deodorant, lotion aina tofauti kiasi, cheni za shingoni, bracelets, saa za bei ndogo tu za ke na me, vikuku, shanga za wanawake) kwenye kabati umemaliza sasa utakuja kwenye shelves hakikisha unaweza pedi kama HC, softcare, pampas za watoto na pampas za watu wazima, ped kama always, halafu utakua na hanger uweke chupi aina mbalimbali za kike, boxa za kiume aina mbalimbali, brazia za wanawake size mbalimbali, weka pia vest za kiume mode mbalimbali, weka soksi aina mbali mbali, halafu maliza na tigo pesa na m pesa na airtelmoney, usisahau kuweka rasta aiana mbalimbali, hakikisha unauza kwa bei ya kawaida ili uwe kwenye mzunguko, biashara hii haifai uwe kijijini inafaa maeneo yenye watu hasa idadi kubwa wawe wapo vijana wa kike na kiume masister duu na mabrazamen, utaona maajabu