Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naona mashabiki wengi wanaona kazi imeishia pale Simba naona bado kuna kazi ya kufanya msibwetweke kwenye mpira lolote linatokea Nkana si wabaya kiivyowatu hafurahii kipigo watu wanafurah kupata gor la ugenini just kutafuta one gor wakija dar....tofaut na ingekuwa 2 ina mana simba atafute gor 3 au 2 ili iwe sare mkuu
ww shabiki wa ukwelinkana ni wazur ila pia kama ulichek game wametumia uwanja wao wa home vizur mana wali wafanya simba kuwa wagen kweli...kwa hilo walistahil pongez
in case mnakula 2 tena, maana tusichululie iiivyo,kiufupi bado kazi ipo.watu hafurahii kipigo watu wanafurah kupata gor la ugenini just kutafuta one gor wakija dar....tofaut na ingekuwa 2 ina mana simba atafute gor 3 au 2 ili iwe sare mkuu
incase tunawapiga 1-0 ? Inshort hata simba ingeshinda kule kazi ingekuwepo pia, but tunaangalia katika angle ambayo inapunguza mzigo.in case mnakula 2 tena, maana tusichululie iiivyo,kiufupi bado kazi ipo.
Mkuu hyo mechi simba imeshinda ngapiwatu hafurahii kipigo watu wanafurah kupata gor la ugenini just kutafuta one gor wakija dar....tofaut na ingekuwa 2 ina mana simba atafute gor 3 au 2 ili iwe sare mkuu
Simba imefungwa 2-1,but wakija huku tunawapiga kimoja na shughuli inaishia hapohapoMkuu hyo mechi simba imeshinda ngapi
Simba imefungwa 2-1,but wakija huku tunawapiga kimoja na shughuli inaishia hapohapo
Wamechanganyikiwa mkuu ,wasamehe bureBaada ya simba kupata gori moja na mpira kuisha mashabiki wa Simba walifurah sana swali hv Nkana wanawaaonaje kwamba itakuwa rahsi kuwafunga mechi ya marudiano
Kama mitishamba inafanyakazi kwenye mpira basi Simba wafanye hivyo, bila kupepesa maneno Siioni simba ikipata sare pale Taifa kwenye uwanja mzuri na mkubwa kama ule. Tuombe Mungu simba wasipigwe 3 au 4. Ila katika hali ya kawaida kabisa bila ushabiki Simba atafungwa.Baada ya simba kupata gori moja na mpira kuisha mashabiki wa Simba walifurah sana swali hv Nkana wanawaaonaje kwamba itakuwa rahsi kuwafunga mechi ya marudiano
Ukifurahia kipigo wewe ni mwehuBaada ya simba kupata gori moja na mpira kuisha mashabiki wa Simba walifurah sana swali hv Nkana wanawaaonaje kwamba itakuwa rahsi kuwafunga mechi ya marudiano
Kwanini msishinde uko uko?watu hafurahii kipigo watu wanafurah kupata gor la ugenini just kutafuta one gor wakija dar....tofaut na ingekuwa 2 ina mana simba atafute gor 3 au 2 ili iwe sare mkuu
Uchambuzi umesomea wapi?nkana ni wazur ila pia kama ulichek game wametumia uwanja wao wa home vizur mana wali wafanya simba kuwa wagen kweli...kwa hilo walistahil pongez
Lugha ya kuwapiga kama Mbabane imepotea ghafla. Nkana hawawezi kutoka kwa Mchina bila goli.Nadhani mtoa post ukiondoa ushabiki kidogo na uka base kwenye ukweli kutokana na sheria na kanuni za goli la ugenini. Bila kujali matokeo ya mechi ijayo yatakua vipi,lakini kwa hiki walichokipata leo ni kikubwa mno kwa washabiki wa simba kufurahia.lilikua ni goal muhimu sana