Hivi ni ipi sababu ya msingi inayopelekea watu waliojipata kiuchumi kuachana???

Hivi ni ipi sababu ya msingi inayopelekea watu waliojipata kiuchumi kuachana???

Rule L

JF-Expert Member
Joined
May 31, 2020
Posts
1,846
Reaction score
2,754
Habari za weekend wakuu, i hope mu wazima wa afya.

Kama heading inavyosomeka, ni ipi hasa sababu ya msingi zaidi ya watu waliojipata kiuchumi kuachana???

Japo hata wale ambao bado hawapo vizuri kiuchumi huachana ila si kwa ukubwa kama ilivyo kwa waliojipata.

Watu wanaweza kuanza maisha wakiwa hawana chochote kile na wakaishi vizuri tu, tena kwa upendo na mshikamano wa hali ya juu kabisa.

Ila tatizo huanza pale mambo yanapokaa sawa, migogoro, usaliti, chuki na tamaa huchukua nafasi.

Mwisho wa yote talaka ndio huchukua nafasi.

Tunarudi kwenye swali la msingi ni ipi hasa sababu ya watu kuachana wakiwa vizuri kiuchumi????
 
Habari za weekend wakuu, i hope mu wazima wa afya.

Kama heading inavyosomeka, ni ipi hasa sababu ya msingi zaidi ya watu waliojipata kiuchumi kuachana???

Japo hata wale ambao bado hawapo vizuri kiuchumi huachana ila si kwa ukubwa kama ilivyo kwa waliojipata.

Watu wanaweza kuanza maisha wakiwa hawana chochote kile na wakaishi vizuri tu, tena kwa upendo na mshikamano wa hali ya juu kabisa.

Ila tatizo huanza pale mambo yanapokaa sawa, migogoro, usaliti, chuki na tamaa huchukua nafasi.

Mwisho wa yote talaka ndio huchukua nafasi.

Tunarudi kwenye swali la msingi ni ipi hasa sababu ya watu kuachana wakiwa vizuri kiuchumi????
Ndoa ikikushinda ukia masikini ukipata pesa achana nayo kabisa, utakufa kabla ya wakati, ukiwa masikini unaishi kwa matumaini mnapeana matumaini ya kesho umasini huweka bond ya ndoa sanaa bcz you have common enemy ambaye ni umasikini.
 
Huwa kunakuw na matatizo nakutokuelewana kwingi kwenye ndoa, Ila sababu inayopelekea wengi waendelee kuwa pamoja ni uchumi kutoruhusu wawili hao kutengana.
Kwa mfano mtu anaweza kugundua cheating lakini hawezi kumuacha mwenza wake Kwa sababu labda hawezi kuiacha nyumba ya. Pia Hana uwezo wa kusupport familia akiwa mbali.
Issue ya kugawana Mali au biashara. Nk
Sasa uwezo wa kiuchumi inapokuwa umekaa sawa mtu anakuwa na ujasiri wa kuachana na mahusiano yanayokera.
 
Habari za weekend wakuu, i hope mu wazima wa afya.

Kama heading inavyosomeka, ni ipi hasa sababu ya msingi zaidi ya watu waliojipata kiuchumi kuachana???

Japo hata wale ambao bado hawapo vizuri kiuchumi huachana ila si kwa ukubwa kama ilivyo kwa waliojipata.

Watu wanaweza kuanza maisha wakiwa hawana chochote kile na wakaishi vizuri tu, tena kwa upendo na mshikamano wa hali ya juu kabisa.

Ila tatizo huanza pale mambo yanapokaa sawa, migogoro, usaliti, chuki na tamaa huchukua nafasi.

Mwisho wa yote talaka ndio huchukua nafasi.

Tunarudi kwenye swali la msingi ni ipi hasa sababu ya watu kuachana wakiwa vizuri kiuchumi????
Kuna watu wengi wako pamoja kwa sababu za kiuchumi. Yani mtu yuko na mume au mke wake si kwa sababu anampenda saaana, bali kwa sababu anapata faida za kiuchumi.

Sasa, hapo anakuwa na mtu kwa sababu anamuhitaji kiuchumi.

Uhitaji huo ukiisha, akijiweza kiuchuni, na yeye anakosa sababu ya kuendelea.
 
Huw ninalosikia kutoka kwa watu ni
Unyanyasaji (mwanamke mmoja alidai kupgwq san )

Imbalance pia (ila wanawake hawajui nn wanataka kama unawez mnunulia Gari ya million 150 aka fall in love kwa mtu alie fix tairi ya gari )
 
Wataalamu wanasema kuna Sababu nyingi ila mojawapo ni Upendo unakuwa umefika Mwisho.

Kama mliwahi kupendana pia mnaweza kuchukiana na lazima mpeane Space 😜😜😜
 
Ndio yale ya kumpa hela ya nyama kilo 5 alafu muuzaji akiongeza robo tayari kashamuhurumia
Huw ninalosikia kutoka kwa watu ni
Unyanyasaji (mwanamke mmoja alidai kupgwq san )

Imbalance pia (ila wanawake hawajui nn wanataka kama unawez mnunulia Gari ya million 150 aka fall in love kwa mtu alie fix tairi ya gari )
 
Kwani kipindi ambacho hawakuwa na pesa hakukua na wivu???
Mkiwa wote Apeche Alolo hamna chochote cha kuoneana wivu. Maana wote mko level moja.

Mkianza kupata hela, na mmoja wenu akaanza kuona kipato cha mwenzake ni kikubwa kuliko cha kwake, Hapo ndipo wivu huanza..

Wivuuu!! Mama wivuu.
 
Walio sema kuwa na pesa tujue yako tabia ulifikir walikosea?

Kama ni malaya utajua ukiwa na pesa,hapo una access ya kupata vibint vya 2000

Kama mke ana jeuri na kiburi utajua akipata pesa na kuwa huru bila kumtegemea mume
 
Financial Independence ni kitu kikubwa sana kwenye maisha ya kila mwanadamu.

Ndoa nyingi zipo kimaslahi sana kuliko tunavyodhani. Watu wengi wapo kwenye ndoa kwasababu kuna kitu anapata kutoka upande wa pili (hasa financially).

Siku mtu huyo akipata financial independence (uwezo wa kujitegemea na kupata mahitaji yake yote bila kumtegemea yule sponsor wa mwanzo) hatauoa tena umuhimu wa sponsor kwahiyo atataka awe huru ili afanye na vile alivyokuwa akitamani kufanya lakini alishindwa kutokana na kuwepo kwenye gereza la ndoa.
 
Back
Top Bottom