Maalim Jumar
JF-Expert Member
- Dec 28, 2010
- 1,259
- 118
Poleni na uchovu wana JF!
Dunia ina mambo! Ukishangaa ya farao utakutana na ya mwingine...
Hivi kuna makabila au jamii ambayo yenyewe ni majiant kwa kuchapa bakora? Au kuchapwa bakora?
Mimi ninaanzia na wajomba zangu Wajaluo...hawa kwa kuchapa bakora ni namba wani...ambae hana kabisa hua ana wakuwachapa bakora wanne!
Sijui na nyinyi mnalichangiaje?
Wakurya noma!
tusipowaweka wahaya, tutakuwa hatuwatendei haki. Mhaya kwake ni kama kila siku lazima ananihi
mmmhhhh pole sana..
mi sijui kabila gani ila nakumbuka hiyo miaka ya nyuma shule ya msingi
walimu walikuwa wanapenda kuchapa sana...
Poleni na uchovu wana JF!
Mpwa oyaole. May be u shld b specific. Make naona hujaeleweka. What do u minPoleni na uchovu wana JF! Dunia ina mambo! Ukishangaa ya farao utakutana na ya mwingine... Hivi kuna makabila au jamii ambayo yenyewe ni majiant kwa kuchapa bakora? Au kuchapwa bakora? Mimi ninaanzia na wajomba zangu Wajaluo...hawa kwa kuchapa bakora ni namba wani...ambae hana kabisa hua ana wakuwachapa bakora wanne! Sijui na nyinyi mnalichangiaje?
Kwa nini unadhani wanaJF wamechoka? (au unamaanisha ni wachovu?)
Mpwa oyaole. May be u shld b specific. Make naona hujaeleweka. What do u min
Cjaelewa wat do u min when u say Bakora.What's ur problemee? Bado unantisha na ukoloni...lol.
Cjaelewa wat do u min when u say Bakora.