"Between 1954 and 1974 Israel took part in the Asian Games, but political pressure exerted by Arab countries led to Israel's exclusion from the re-organized Olympic Council of Asia in 1981.[1] In the early 1990s Israel was admitted into European sports organizations, and became full member ofEuropean Olympic Committees in 1994. Israel has participated in the biannual European Youth Olympic Festival, since 1995, and the European Gamessince 2015".
Kwa mujibu wa Wikipedia Israel ilitimuliwa na waarabu ambao hawapatani kulikopelekea wao kujiunga UEFA. Kwahiyo sio kwa kupenda kwao bali walitimuliwa. Na sio kwenye michezo tu bali hata katika nyanja zingine Israel inajihusisha zaidi na Europe.