Sawa mkuuHuo msemo wa mganga hajigangi unahitajika kufafanuliwa ili ileweka vizuri tafsiri yake hajigangi kvp? Kwa sababu nijuavyo mganga kuna baadhi ya mambo humtokea hivyo anatakiwa kujitibia mfano unakuta mganga wakati mwengine hupoteza baadhi ya nguvu zake za kiganga au mambo ambayo huathiri kazi zake za kiganga hivyo hujiganga.
Kuna wakati mganga hujifanyia dawa ili kuvuta wateja na kuboost mambo yake ya riziki kwa ujumla.
Masharti ni magumu hata Mwanaye wa kumzaa asingependa ayapitie.1: Kwa maana hana uganga wowote ni utapeli tu.
2: Kwa maana maagano yake hayamruhusu kujiganga
3: Anaogopa matokeo ya uganga huo kama akijisaidia binafsi