Nashindwa kuelewa hili swala wana jamvi. Ni kwanini ni sisi wanaume tu ndo tunawaita wapenzi wetu "my Angel". Mbona Wanawake hawatumii my angel kuwaita wapenzi wao?
Nashindwa kuelewa hili swala wana jamvi. Ni kwanini ni sisi wanaume tu ndo tunawaita wapenzi wetu "my Angel". Mbona Wanawake hawatumii my angel kuwaita wapenzi wao?
<br /><br />
<br /><br />
Malaika (Angels au Angelus au Malak) ni viumbe wa kiroho waishio mbinguni kwa Mungu. Aliesema malaika ni wanaume au wanawake ni nani?
Nashindwa kuelewa hili swala wana jamvi. Ni kwanini ni sisi wanaume tu ndo tunawaita wapenzi wetu "my Angel". Mbona Wanawake hawatumii my angel kuwaita wapenzi wao?