Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,872
- 34,363
Hivi ni kwa nini wanawake WAKITEMBEA BARABARANI utakuta chupi zao zinaonekana yaani wanavaa KK. NA HII IMEKUWA KAMA DESTURI HASA MAENEO YA MUJINI . HIVI NI KWA NINI?
Hivi ni kwa nini wanawake WAKITEMBEA BARABARANI utakuta chupi zao zinaonekana yaani wanavaa KK. NA HII IMEKUWA KAMA DESTURI HASA MAENEO YA MUJINI . HIVI NI KWA NINI?
ni utovu wa nidhamu na ukosefu wa maadili.Kwa kawaida chupi ya mwanamke haipaswi kuonekana.Mbona za wanume hatuzioni? Shame on u wadada.Jiheshimuni!!
kwa sababu......
biashara ni matangazo
ili kuwapunguzia baadhi ya watu misongo
you guys can say that again!ni mtindo (fasheni) tu mkuu, haina tatizo. kumbuka hata chupi ni nguo,
ni utovu wa nidhamu na ukosefu wa maadili.Kwa kawaida chupi ya mwanamke haipaswi kuonekana.Mbona za wanume hatuzioni? Shame on u wadada.Jiheshimuni!!
Kuna zile ambazo zinakaa kama REDIO IMEKULA KANDA VILEEE........tehee halafu zinapigishwa kata KEPITO BOLDED K...... humu mithaani........ vitha ni vitha muraaKuna nyingine zina mpaka turn up kama suruali