Huo unga wa uji unaokunywa anaanda nani,unakunywa mama lishe au?watu wengine wanachanganya amira,wengine wanachanganya muhogo,wengine wanachanganya na valiumkidogo.kama kweli unapenda afya yako tafuta mazingira mazuri ya kuandaliwa labda mkeo,dada,mama au mwenyewe.vinginevyo kuna tatizo la tumbo lako wakati wa myeyusho wa chakula tumboni,na kama ni hali ya kawaida tu wewe unachongangani nini?
asante njiwa kwa maelezo ya kitaaluma yamejitosheleza. Maana hata usiku nikishakula huwa najisikia kulala mara baada ya kula. ila huwa najikip bize nisilale kwa sababu inashauriwa sio vizuri kumaliza kula na kulala hapo kwa hapo nagalau saa nzima ipite ndio ulale.uji una starch "wanga" mwili unakuwa busy kufyonzwa every nutrients till to the last drop ndio maana unajihisi kuchoka.. thats the only scientific reason behind
Samahani kwani wewe ni mtani wangu (unabana matumizi au), uji tumia mara moja moja, siku nyingine kunywa chai yako na bites nzuri, haaa uji kila siku umekuwa mtoto mdogo.