Pendaelli
JF-Expert Member
- Feb 13, 2014
- 11,050
- 31,412
Wakuu heshima kwenu.
Nakumbuka 2005 kurudi nyuma feniture itokanayo na mbao ilikua ikihitajika kwa wingi na jamii.
Tofauti na siku hizi seramala amekua na thamani ndogo sana.
Hata vyuo vya ufundi fani ya seremala haina vijana kabisa.
Nini kimeikumba sekta hii ya mbao?
Wako wapi wateja wa makochi, vitanda, meza, milango, fremu, shata, meza za ofisi na viti vyake, na za chakula, kabati za nguo na za vyombo, shelvu nk?
Nakumbuka 2005 kurudi nyuma feniture itokanayo na mbao ilikua ikihitajika kwa wingi na jamii.
Tofauti na siku hizi seramala amekua na thamani ndogo sana.
Hata vyuo vya ufundi fani ya seremala haina vijana kabisa.
Nini kimeikumba sekta hii ya mbao?
Wako wapi wateja wa makochi, vitanda, meza, milango, fremu, shata, meza za ofisi na viti vyake, na za chakula, kabati za nguo na za vyombo, shelvu nk?