Hivi ni kwanini biashara nyingi za kibongo mpaka mbembelezane?

Hivi ni kwanini biashara nyingi za kibongo mpaka mbembelezane?

February Makamba

JF-Expert Member
Joined
Jan 31, 2020
Posts
2,151
Reaction score
2,983
India!
Nilienda Kenya tu hapo, nkagundua maduka mengi watakukaribisha ila swala la kununua hakuna kubembelezana kama ilivyo bongo.

Kibongobongo wateja wamezoea kubembelezwa, nunua basi, kwani una shingapi? Chukua hii basi. Au jaribu basi ile?

Hatujui kuwa trade ni nipe nikupe? Wote mnasaidiana? Wewe una shida na kitu na muuzaji ana shida na hela?

Yani inakuwa kama unamtongoza mteja anunue..na usipofanya hivi hanunui anaenda kununua sehemu atakayotongozwa.

Hii ni kwanini?
 
Hii ni kweli..yaani mteja anakuja kupata huduma huku akiwa na mentality kuwa wewe mtoa huduma au mfanyabiashara ndio una shida alafu yeye hana shida kwa ufupi anakuja kwa kuonea huruma na sio kuwa na yeye ana uhitaji..huwa nashanga sana
 
Hii ni kweli..yaani mteja anakuja kupata huduma huku akiwa na mentality kuwa wewe mtoa huduma au mfanyabiashara ndio una shida alafu yeye hana shida kwa ufupi anakuja kwa kuonea huruma na sio kuwa na yeye ana uhitaji..huwa nashanga sana
Hivi chanzo ni nini? Ni umasikini au ujamaa?
 
Tunaamini mwenye biashara ndio mwenye shida ya hela.
 
Wewe unayeuza nguo sijui viatu ndio mwenye shida ,Mimi mwenye hela Sina shida ,[emoji3][emoji3][emoji3]kama huwezi nitongoza na kunishawishi vzuri basi utasubili Sana ....


Kiufupi ni chuki na roho mbaya tu .....
 
Mi hata sehem nikienda ni mgeni huwa na tabia flan namfata bodaboda namuuliza hapa na sehem flan shingap akinijibu buku mbili namtishia kuondoa nikion Yuko kimya natafuta mwngne namuuliza hivyohivyo akijibu buku mbili namtishia kuondoka naenda kwa mwngne akinitajia bei hiyo hiyo ndo napanda naenda najua kweli Itakua hiyo sehem ni mbali

Maana sisi wabongo tuna tabia ya kupandishiana bei kwenye biashara kutokana na kuangalia muonekano wa mtu hatuna ule uadilifu wa kuweka bei halisi, ila yapo maduka ambayo bidhaa zimeshabandikwa bei hapo huwa hawasikilizi uswahili wako wala kubembeleza
 
Mi hata sehem nikienda ni mgeni huwa na tabia flan namfata bodaboda namuuliza hapa na sehem flan shingap akinijibu buku mbili namtishia kuondoa nikion Yuko kimya natafuta mwngne namuuliza hivyohivyo akijibu buku mbili namtishia kuondoka naenda kwa mwngne akinitajia bei hiyo hiyo ndo napanda naenda najua kweli Itakua hiyo sehem ni mbali

Maana sisi wabongo tuna tabia ya kupandishiana bei kwenye biashara kutokana na kuangalia muonekano wa mtu hatuna ule uadilifu wa kuweka bei halisi, ila yapo maduka ambayo bidhaa zimeshabandikwa bei hapo huwa hawasikilizi uswahili wako wala kubembeleza
Mhhh
 
That's true OP
Hili Taifa linatafunwa na vingi, vile vile mbali na Mfnybshr kuonekana yeye ndio ana shida, pia yeye anaweza kukuuzia bidhaa mara tatu ya bei halali. Na wala hajari. ie "nishampiga parefu"
 
India!
Nilienda Kenya tu hapo, nkagundua maduka mengi watakukaribisha ila swala la kununua hakuna kubembelezana kama ilivyo bongo.

Kibongobongo wateja wamezoea kubembelezwa, nunua basi, kwani una shingapi? Chukua hii basi. Au jaribu basi ile?

Hatujui kuwa trade ni nipe nikupe? Wote mnasaidiana? Wewe una shida na kitu na muuzaji ana shida na hela?

Yani inakuwa kama unamtongoza mteja anunue..na usipofanya hivi hanunui anaenda kununua sehemu atakayotongozwa.

Hii ni kwanini?
Hii Tabia inakera Sana , mi mwenyewe kazi yangu Kwa mteja ni kumkarbisha na kumweleza bei , na kumjibu anachouliza , kama ana Nia atanunua tuu kama Hana Nia hakuna haja ya kumbembeleza , unaweza mbembeleza achukue kingine ambacho hajapanga alaf akienda kukitumia asiporidhika ndo atakuchafua hata Kwa wateja wengine , kwamba umemuuzia kitu kibovu ....!!
 
India!
Nilienda Kenya tu hapo, nkagundua maduka mengi watakukaribisha ila swala la kununua hakuna kubembelezana kama ilivyo bongo.

Kibongobongo wateja wamezoea kubembelezwa, nunua basi, kwani una shingapi? Chukua hii basi. Au jaribu basi ile?

Hatujui kuwa trade ni nipe nikupe? Wote mnasaidiana? Wewe una shida na kitu na muuzaji ana shida na hela?

Yani inakuwa kama unamtongoza mteja anunue..na usipofanya hivi hanunui anaenda kununua sehemu atakayotongozwa.

Hii ni kwanini?
Biashara za kutegemea uchawi
 
Back
Top Bottom