DidYouKnow
JF-Expert Member
- Jul 28, 2019
- 1,229
- 1,950
Huwa najiuliza sana, ni kwa nini DStv wanajaza sana matangazo kwenye channels zake zote, wakati kila mwezi tunalipia vifurushi vyao? \
Au tunalipia ili tuangalie matangazo?
Au tunalipia ili tuangalie matangazo?