Wakuu habar,
Kama kichwa cha habar kinavyoeleza,huyu jamaa amekuwa akitaka kwa nguvu ulimwengu ujue kuwa yeye ni SHADY,
Swali langu ni je..? jamaa anataka kutufahamisha kuwa amekuja kivingine katika mziki au ana maana gani
UPDATE
jamaa katoa truck inaitwa "I'm shady" truck hiyo imo ndani ya ulbum ya "I'm slim shady"
Katika wimbo wa "im shady" jamaa kafoka kweli kweli na kujitapa hapa na pale anasema "solid billions of tape but you still screamed,f*** the world" maneno hayo yapo kwenye wimbo huo
Wajuzi karibuni,pia mashabiki wa h.i.p h.op karibuni saana
wasilisha
post using my macbook air using jamiiforums app