Hivi ni kwanini HELSB hawana reserve list?

Salary Slip

Platinum Member
Joined
Apr 3, 2012
Posts
49,390
Reaction score
152,301
Jamani mimi huwa naamini si watu wote wanaostahili kupata mikopo hufika chuoni.Sasa kwa wale ambao huwa hawafiki hela zao huwa zinakwenda wapi?
 
hela zao huwa zinarudihwa bodi ya mkopo ndo mana ile hela huwa inapitia kwenye akaunti ya chuo then chuo kinaingiza kwenye akaunti ya mwanafunzi ambaye karipoti
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…