Hivi ni kwanini ina kuwa hivyo?

Nesindiso Sir

JF-Expert Member
Joined
Oct 31, 2007
Posts
379
Reaction score
28
Jiulize haya yanatutokea kila siku.....

LAW OF QUEUE:
Ukibadilisha mstari unapopanga foleni ule uliouacha unakwenda mbio zaidi.

LAW OF TELEPHONE:
Namba unayopiga kwa makosa daima haipo bize (busy)

LAW OF MECHANICAL REPAIR:
Mikono yako inapokuwa michafu pua inaanza kuwasha ili uikune

LAW OF THE ALIBI:
Ukimdanganya bosi kuwa umechelewa kwa sababu gari lako limepata pancha kesho yake utapata pancha kweli

BATH THEOREM:
Ukishajitia maji tu simu itaanza kuita

LAW OF ENCOUNTERS:
Uwezekano wa kuonekana na watu unaongezeka unapokuwa na mtu unayetaka usionekane ukiwa nae

LAW OF THE RESULT:
Unapojaribu kumueleza mtu kwamba mashine yako imeharibika ukiwasha itafanya kazi

LAW OF BIOMECHANICS:
Sehemu inayowasha mwilini huwasha zaidi pale ambapo huwezi kujikuna

THEATRE RULE:
Watu wanaokalia viti vizuri ndio wanaochelewa kufika

LAW OF COFFEE:
Ukikaa tu ofisini na kuanza kunywa kahawa yako bosi atakuita na kukuchelewesha mpaka kahawa yako ipoe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…