Hivi ni kwanini kwenye mtandao huwezi kukuta live updates za Tanzania Premier League?

Hivi ni kwanini kwenye mtandao huwezi kukuta live updates za Tanzania Premier League?

Muite

JF-Expert Member
Joined
Sep 10, 2013
Posts
2,971
Reaction score
6,607
Yaani uki Google ligi za ulaya utaona live updates inaonesha ni dakika ya ngapi na goli ni ngapi kwa ngapi, hata line-up za vikosi, ila uki Google Tanzania premier league unakuta inaonesha tu timu zitakazocheza na muda tu basi, yaani kama ni Mashujaa Vs KMC 1600 itabaki hivyohivyo hata mechi ikiisha itabaki hivyohivyo na si ajabu ikakaa hivyo hata siku mbili.

Katika sehemu TFF wamefeli ni pamoja na hili . Yaaani tupo Kijima sana na kishamba. Too local
 
Ulaya kote huko.

Ligi ya Misri tu ipo active kwenye Google.

Huku kwetu kuna ushamba mwingi ukifuatilia nini sababu inaweza kukushangaza.

Usikute sababu ni mdhamini wa matangazo ndio aliyeweka pingamizi akitaka kuwa watu wote wapate updates kupitia vyombo vyake.
 
Yaani uki Google ligi za ulaya utaona live updates inaonesha ni dakika ya ngapi na goli ni ngapi kwa ngapi, hata line-up za vikosi, ila uki Google Tanzania premier league unakuta inaonesha tu timu zitakazocheza na muda tu basi, yaani kama ni Mashujaa Vs KMC 1600 itabaki hivyohivyo hata mechi ikiisha itabaki hivyohivyo na si ajabu ikakaa hivyo hata siku mbili.

Katika sehemu TFF wamefeli ni pamoja na hili . Yaaani tupo Kijima sana na kishamba. Too local
Kwenye Sofascore wana live updates. Hata ratiba ya siku ya kesho yake wanaweka.
 
Ulaya kote huko.

Ligi ya Misri tu ipo active kwenye Google.

Huku kwetu kuna ushamba mwingi ukifuatilia nini sababu inaweza kukushangaza.

Usikute sababu ni mdhamini wa matangazo ndio aliyeweka pingamizi akitaka kuwa watu wote wapate updates kupitia vyombo vyake.
Inawezekana kweli ni mashariti ya mdhamini. Ila kweli sisi bado sana
 
Ulaya kote huko.

Ligi ya Misri tu ipo active kwenye Google.

Huku kwetu kuna ushamba mwingi ukifuatilia nini sababu inaweza kukushangaza.

Usikute sababu ni mdhamini wa matangazo ndio aliyeweka pingamizi akitaka kuwa watu wote wapate updates kupitia vyombo vyake.
Mbona ffotmob zipo
 
Yaani uki Google ligi za ulaya utaona live updates inaonesha ni dakika ya ngapi na goli ni ngapi kwa ngapi, hata line-up za vikosi, ila uki Google Tanzania premier league unakuta inaonesha tu timu zitakazocheza na muda tu basi, yaani kama ni Mashujaa Vs KMC 1600 itabaki hivyohivyo hata mechi ikiisha itabaki hivyohivyo na si ajabu ikakaa hivyo hata siku mbili.

Katika sehemu TFF wamefeli ni pamoja na hili . Yaaani tupo Kijima sana na kishamba. Too local
Mbona mimi huwa naona jamani
 
Yaani uki Google ligi za ulaya utaona live updates inaonesha ni dakika ya ngapi na goli ni ngapi kwa ngapi, hata line-up za vikosi, ila uki Google Tanzania premier league unakuta inaonesha tu timu zitakazocheza na muda tu basi, yaani kama ni Mashujaa Vs KMC 1600 itabaki hivyohivyo hata mechi ikiisha itabaki hivyohivyo na si ajabu ikakaa hivyo hata siku mbili.

Katika sehemu TFF wamefeli ni pamoja na hili . Yaaani tupo Kijima sana na kishamba. Too local
Download sofascore liveupdate utaona ligi na mashindano ya michezo yote dunia nzima.
 
Yaani uki Google ligi za ulaya utaona live updates inaonesha ni dakika ya ngapi na goli ni ngapi kwa ngapi, hata line-up za vikosi, ila uki Google Tanzania premier league unakuta inaonesha tu timu zitakazocheza na muda tu basi, yaani kama ni Mashujaa Vs KMC 1600 itabaki hivyohivyo hata mechi ikiisha itabaki hivyohivyo na si ajabu ikakaa hivyo hata siku mbili.

Katika sehemu TFF wamefeli ni pamoja na hili . Yaaani tupo Kijima sana na kishamba. Too local
 

Attachments

  • Screenshot_2024-09-27-16-14-14-768.jpg
    Screenshot_2024-09-27-16-14-14-768.jpg
    159.1 KB · Views: 3
Yaani uki Google ligi za ulaya utaona live updates inaonesha ni dakika ya ngapi na goli ni ngapi kwa ngapi, hata line-up za vikosi, ila uki Google Tanzania premier league unakuta inaonesha tu timu zitakazocheza na muda tu basi, yaani kama ni Mashujaa Vs KMC 1600 itabaki hivyohivyo hata mechi ikiisha itabaki hivyohivyo na si ajabu ikakaa hivyo hata siku mbili.

Katika sehemu TFF wamefeli ni pamoja na hili . Yaaani tupo Kijima sana na kishamba. Too local
Usilaumu kabla haujajibiwa. Hapa kuna mechi ipo Live inaendelea:

超级截屏_20240927_171845.png
 
Flashcore wanaonyesha tu vizuri tena mechi zote za ligi kuu,nadhani ni technology yetu ipo chini, mechi nyingi zinazorushwa kwenye television zinaonyeshwa kwenye mitandao (live updates) maana kuna connection ya moja kwa moja na satellites
 
Back
Top Bottom