Gordon Novel
Senior Member
- Dec 21, 2011
- 142
- 240
Utoto huu
ndo akili za first year hizi, sishangai
bahati nzuri nilishakwepa mishale yote ya semister sita pale udbs.
nimegundua wengi mnaonishambulia hamkubahatika kusoma mlimani,kwa hiyo kwenye hii thread ndo mmepata pa kutolea hasira zenu za kupakosa.
Nimekaa nimetafakari hapa,nikaona ebu ngoja niwaulize wana MMU!Maana hali ndo ilivyo..jamaa wa vyuo vingine wanachezea vibuti mpaka
japo ni opinion bt kuna kaukwel flan hv!
Nimekaa nimetafakari hapa,nikaona ebu ngoja niwaulize wana MMU!Maana hali ndo ilivyo..jamaa wa vyuo vingine wanachezea vibuti mpaka aibu yani.
nimegundua wengi mnaonishambulia hamkubahatika kusoma mlimani,kwa hiyo kwenye hii thread ndo mmepata pa kutolea hasira zenu za kupakosa.