Hivi ni kwanini Serikali inaposema inatangaza ajira huzungumzia zaidi za afya na ualimu?

Hivi ni kwanini Serikali inaposema inatangaza ajira huzungumzia zaidi za afya na ualimu?

Meneja Wa Makampuni

JF-Expert Member
Joined
Jul 7, 2020
Posts
7,899
Reaction score
10,415
Hivi ni kwanini serikali inaposema inatangaza ajira huzungumzia zaidi ajira za afya na ualimu.

Inamaana huwa haiwazi kuwa kuna graduates wa fani zingine pia?

Hivi ni kwanini isifuatilie upungufu na kwenye taasisi zingine kisha itangaze ajira kwa pamoja?

Kwanini ajira za graduates wa fani zingine zisitangazwe kwa pamoja na hizo ajira za ualimu na afya ili kuondoa ubaguzi huo?
 
Sekta karbia zote zimetangaza Mzee , Ajira jumla ni 32000, watu wa TRA wameshatangaza , watu wa uhamiaji wameshatangaza , watu wa Afya wameshatangaza 7000 , watu wa elimu 9800, watu wa kilimo 900 Ila bado hawajatangaza , watu wa mifugo 700 Ila bado hawajatangaza .... Karbia sekta zote , Elimu na Afya ni kazi za huduma ambazo zimetapakaa karbia kila Kata na kijiji thus why huwa zinakuwa nyingi na kuongelewa sana
 
Sekta karbia zote zimetangaza Mzee , Ajira jumla ni 32000, watu wa TRA wameshatangaza , watu wa uhamiaji wameshatangaza , watu wa Afya wameshatangaza 7000 , watu wa elimu 9800, watu wa kilimo 900 Ila bado hawajatangaza , watu wa mifugo 700 Ila bado hawajatangaza .... Karbia sekta zote , Elimu na Afya ni kazi za huduma ambazo zimetapakaa karbia kila Kata na kijiji thus why huwa zinakuwa nyingi na kuongelewa sana
Hivi forestry Ipo kwenye kilimo
 
Hizo ni ajira zenye uhitaji ambazo zina upungufu mkubwa mfano waalimu na manesi vijijini ni shida.Sasa kama wewe uliesomea procurement sijui public administration na hizo Accounts utasubiri sana maana hiyo fani kazi ya watu mia 2 anaweza fanya mtu mmoja tu wala haileti changamoto ila shule na hospitali nurse au Mwalimu mmoja hawezi kuhudumia wanafunzi mia2 kwa ufanisi mwisho wake ni uzoroteshaji wa huduma.
 
nazani serkali ina takiwa kuajili kila mwananchi awe na mhasibu wake, polisi wake, afisa kilimo wake etc...
 
Back
Top Bottom