Hivi ni Kwanini? .........................sijui jibu

Basi ngoja nikugeuze vocha ya 500! Watu wakusugueee wee hadi wachoke

hahahah lol asante sana Rev
haya asante sana kwa maombi ya leo..
mi ngoja ni lale sasa
ili nipate nguvu mpya kesho za kuku................. amen.
good night ana thanx a lot mmmwwaaahhh
 
hahahahahhahah lol
hili kanisa letu hili
ni balaa tuu..
angalia hii Lizzy I am Full Time Alcoholic, Drugs and Sexy Addicts
eti hii ndo introduction ya Rev wetu..
kwa kweli nyote mnakaribishwa lol..

Mchungaji wetu huyu ni noma!!!Unaweza ukabadilisha dini usiposoma katikati ya mistari!!!!
 
hahahah lol asante sana Rev
haya asante sana kwa maombi ya leo..
mi ngoja ni lale sasa
ili nipate nguvu mpya kesho za kuku................. amen.
good night ana thanx a lot mmmwwaaahhh

Hiyo Mwaaa ni kwenye utosi ama ile yenyewe? Haya bwana acha nami nikawahi vikondoo vikorofi
 
Mchungaji wetu huyu ni noma!!!Unaweza ukabadilisha dini usiposoma katikati ya mistari!!!!

hahahahh lol
haya bibie
mi ngoja nianze kubusu mto sasa
asante sana kwa kuchat tutaonana kesho..
ngoja mi nikuache we na Rev mtunge nyimbo za jumapili..


thanx a lot
God Bless
mmmwwwaahhh
 
hahahahh lol
haya bibie
mi ngoja nianze kubusu mto sasa
asante sana kwa kuchat tutaonana kesho..
ngoja mi nikuache we na Rev mtunge nyimbo za jumapili..


thanx a lot
God Bless
mmmwwwaahhh

Lala salama mwaya......
 

...Law of urination:- Ukitoka home tu na kuingia main road, unaanza kuhisi mkojo kwa sana! Mkuu, bongo kuna watu wanapewa u-Dr ilhali hawajafanya lolote, kwa kazi kubwa kama hii, kwanini usiitwe Pro. Masanilo?
 
...Law of urination:- Ukitoka home tu na kuingia main road, unaanza kuhisi mkojo kwa sana! Mkuu, bongo kuna watu wanapewa u-Dr ilhali hawajafanya lolote, kwa kazi kubwa kama hii, kwanini usiitwe Pro. Masanilo?

Nilikuwa sijaiona hii hahahahaahha wacha kina Kikwete wawe madokta! Mimi nibakie Rev Masa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…