Aisee..mkuu wangu piijeeey....
hebu tusaidie kuijibu hii bolded & enlarged part...
yamekuwa makubwa ndugu yangu....!Aisee..
Nimebaki hoi na eneo hilo pia!
Anasema wanaume wajifunze mahitaji ya wake zao na ya maInfii wao!...
Kwanza dada atuombe radhi, maana hapo anatufunza kuwa infii ni part and parcel katika ndoa!
Sa na wewe Teamo si unaona madhara ya yale masheria yenu ya hiyo nanihii...si unaona eeh?...Mmemlisha sumu FL!...huh!
Mkuu PJ habari yako binafsi bana!!Aisee..
Nimebaki hoi na eneo hilo pia!
Anasema wanaume wajifunze mahitaji ya wake zao na ya maInfii wao!...
Kwanza dada atuombe radhi, maana hapo anatufunza kuwa infii ni part and parcel katika ndoa!
Sa na wewe Teamo si unaona madhara ya yale masheria yenu ya hiyo nanihii...si unaona eeh?...Mmemlisha sumu FL!...huh!
FL hiyo red na bluu nisaidie tafadhali imaana nimechanganyikiwa
Wanaume wakishaoa ni wavivu sana kwenye mapenzi kuliko awali kabla hawajaoa.unakuta zamani kabla hajaingia kwenye ndoa dume lilikuwa linajituma mpaka mtoto wa kike anakolea,ila akiingia kwenye kiapo anakuwa mzito sana.hasa wanaume hawa waliooa wakishikwa hamu hakuna tena maandalizi kwa wenzi wao,huishia kuwaparamia kama vile wamehesabiwa muda wa mechi.nimejaribu kuwauliza wanawake kadhaa walioolewa na baadhi ya nyumba ndogo za wanaume kadhaa, wote wamelikiri hili. Wanajamvi wenzangu naomba mnisaidie kujua sababu ili nami nikiolewa nsikutane na mwanaume mzembemzembe.pia hao waliooa wajifunze wajue mahitaji ya wake zao na maInfii wao
MTM alipokuja Arachuga yule RAIA fULANI alikuwa ameenda Iringa!....Naomba umsalimie KIMEY!(kikulacho...)yamekuwa makubwa ndugu yangu....!
aisee vipi huko arachuga?
''mali zangu'' unaniangalizia?
naona mlinzi wangu hunipi ripoti kabisa....na huku MTM anatamba sana sijui nini kilitokea:wink2::wink2:
MTM alipokuja Arachuga yule RAIA fULANI alikuwa ameenda Iringa!....Naomba umsalimie KIMEY!(kikulacho...)
Dena mbona kila kitu kiko wazi tu
Was here...
Wanaume wakishaoa ni wavivu sana kwenye mapenzi kuliko awali kabla hawajaoa.unakuta zamani kabla hajaingia kwenye ndoa dume lilikuwa linajituma mpaka mtoto wa kike anakolea,ila akiingia kwenye kiapo anakuwa mzito sana.hasa wanaume hawa waliooa wakishikwa hamu hakuna tena maandalizi kwa wenzi wao,huishia kuwaparamia kama vile wamehesabiwa muda wa mechi.nimejaribu kuwauliza wanawake kadhaa walioolewa na baadhi ya nyumba ndogo za wanaume kadhaa, wote wamelikiri hili. Wanajamvi wenzangu naomba mnisaidie kujua sababu ili nami nikiolewa nsikutane na mwanaume mzembemzembe.pia hao waliooa wajifunze wajue mahitaji ya wake zao na maInfii wao
...kana kwamba kaka zako hatupo jamvini....:wink2::wink2::wink2::wink2:Sasa FL mydia akianza uvivu asubuhi si utamdampu?? Just like what we always do when we are on probation mydia. And believe me sio wanaume tu hata sie............. but hebu jaribu kumwamsha sasa..mpanie, mpe mambo mazito, mkimbize mchakamchaka ..mara mbili tu ataamka maana atahisi kuwa unamtoa knockout na hakuridhishi ataogopa kutafutiwa msaidizi.
(By the way uwage unasema kama hujaridhika......kukaa kimya au kudanganya hakusaidii we mwambie ....Bwana mie mwenzio bado.....tena kwa hasira)
Tatizo tukishawaoa na nyie mnapunguza mvuto, badala ya kujiremba kama wakati tunaiba mnajiacha hovyo na hasa mkishazaa mpaka mwamme anakuwa hana hamu ya mapenzi. Kingine mnatupikia mapochopocho mengi kiasi kwamba tunakuwa Obese na perfomance inapungua!!
...kana kwamba kaka zako hatupo jamvini....:wink2::wink2::wink2::wink2:
Utake usitake utakutananae tu