Hivi ni kwanini wanaume waliooa ni wavivu katika mapenzi..?


Radha inakuwa imesha kwisha
 
mwajadili nin?
uvivu na kujituma ndoan? iende
aya misjakua bado...:rain:
 
natoka povu mkuu....

festiledi ananizalilisha hivi hivi

Huyu mwanamke wa kwanza hafikishwi na mwanaume wa kwanza, anatafuta sababu tu ya kuonja vya mwanaume wa mwisho
Sasa mkuu unatoka povu umechanganya koka na Quinine au?
 
Nadhani 'nyumba ndogo' ndio wanaweza sema kama wanaume waliooa ni wavivu au la...
 

ujumbe umefika nadhan watayaweka wazi hapa jamvini.mie baadhi ya nilioweza kuongea nao wamelithibitisha hili.hakuna jipya kwenu,hakuna tofauti ya kijana na mzee muwapo kwenye ndoa
 
Leo mmeguswa nyie basi visingizio kibao, mnavyotusemaga wanawake mara this mara that huku mna nyumba ndogo lukuki kumbe ni uzembe wenu..baeleze bana Firstlady, mwanaume siyo kuchomeka tu!!.. Nami naomba nisikutane na taip hiyo!!

teh ...kweli kabisa wanaume wanadhani kuchomeka ndio issue.hawajui kama kuku anachemshiwa maji kwanza kabla ya kunyonyolewa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…