Pre GE2025 Hivi ni kwanini wengi wanaotekwa na kupotezwa ni raia wa vyama vya siasa pinzani?

Pre GE2025 Hivi ni kwanini wengi wanaotekwa na kupotezwa ni raia wa vyama vya siasa pinzani?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

kagoshima

JF-Expert Member
Joined
Dec 31, 2015
Posts
2,887
Reaction score
5,687
List ya wengi wanaotekwa na kupotezwa ni wale raia wanao support au wanachama wa vyama pinzani na ccm. Hii inamaanisha nini?

Pia soma: Kuelekea 2025 - Rais Samia: Machifu waambieni wanasiasa ukweli vyeo havipatikani kwa kuua watu
  • Je, nikuwatisha raia wadishabikie vyama pinzani?
  • Je, watekaji hawapendi mfumo wa vyama vingi ambao upo kikatiba?
  • Je, watekaji wanaogopa ustawi wa vyama pinzani na ccm?
  • Je, watekaji wangependa turudi mfumo wa chama kimoja cha siasa? (Bora hii option kuliko yanayoendelea dhidi ya vyama pinzani na chama tawala?
Pia soma: SATIVA: Nilitekwa nikapelekwa Karakana ya Polisi Oysterbay kabla ya kusafirishwa sehemu nyingine na nimepigwa risasi ya kichwa

Nilichogundua,
- viongozi wa upinzani maarufu wanakamatwa na kushitakiwa kwenye mfumo rasmi wa sheria.

- Viongozi na supporters wa upinzani wasio maarufu, hutekwa na kujeruhiwa ama kupotezwa. Ni nani afanyaye haya?

- Lengo la hawa watekaji ni nini?
 
List ya wanaotekwa na kupoteza ni wale raia wanao support au wanachama wa vyama pinzani na ccm. Hii inamaanisha nini?
-Je nikuwatisha raia wadishabikie vyama pinzani?
-je watekaji hawapendi mfumo wa vyama vingi ambao upo kukaribia?
-je watekaji wanaogopa ustawi wa vyama pinzani na ccm ?
-je watekaji wangependa turudi mfumo wa chama kimoja cha siasa? (Bora hii option kuliko yanayoendelea dhidi ya vyama pinzani na chama tawala?

Nilichogundua,
- viongozi wa upinzani maarufu wanakamatwa na kushitakiwa kwenye mfumo rasmi wa sheria.

-Viongozi na supporters wa upinzani wasio maarufu, hutekwa na kujeruhiwa ama kupotezwa. Ni nani afanyaye haya?

- lengo la hawa watekaji ninini
Usemi: 'serikali ina mikono mirefu' umebeba maana kamili kiuhalisia.

Wanaotekeleza unyama huo, ni mikono mojawapo ya Serikali.

Serikali isingelikuwa 'mlishi' wa hao majinuni ingeliwasaka na kuwadaka kama kipanga akwapuavyo vifaranga mchana wa asubuhi ya mapema.

Ukiona jambo lolote Polisi wanajifanya kulishindwa kulipeleleza ama kulipotezea, elewa kuwa jambo hilo ni la 'tajiri' wao.

Hizo 'kwanini' zako zote zingeliwekwa fungu moja tu la swali... 'Kwanini waTz wapenda haki na utawala wa sheria, kwa umoja wetu tusiikatae Serikali hii mumiani inayochezea maisha ya watu bila kujali? '... ingelitosha sana.
 
List ya wengi wanaotekwa na kupotezwa ni wale raia wanao support au wanachama wa vyama pinzani na ccm. Hii inamaanisha nini?

Pia soma: Kuelekea 2025 - Rais Samia: Machifu waambieni wanasiasa ukweli vyeo havipatikani kwa kuua watu
  • Je, nikuwatisha raia wadishabikie vyama pinzani?
  • Je, watekaji hawapendi mfumo wa vyama vingi ambao upo kukaribia?
  • Je, watekaji wanaogopa ustawi wa vyama pinzani na ccm?
  • Je, watekaji wangependa turudi mfumo wa chama kimoja cha siasa? (Bora hii option kuliko yanayoendelea dhidi ya vyama pinzani na chama tawala?
Pia soma: SATIVA: Nilitekwa nikapelekwa Karakana ya Polisi Oysterbay kabla ya kusafirishwa sehemu nyingine na nimepigwa risasi ya kichwa

Nilichogundua,
- viongozi wa upinzani maarufu wanakamatwa na kushitakiwa kwenye mfumo rasmi wa sheria.

- Viongozi na supporters wa upinzani wasio maarufu, hutekwa na kujeruhiwa ama kupotezwa. Ni nani afanyaye haya?

- Lengo la hawa watekaji ni nini?
hebu thibitisha kwa uchache bas gentleman, kama wafanyibiashara, madaktari, waandishi wa habari na raia wengineo waliohusika ni wa vyama vya kisiasa upande ulochagua 🐒
 
Kuna maamuzi fulani yalifanywa na wakubwa was nchi hii !japo kwangu Huwa nayaona ya kijinga japo Mimi ni holder wa kadi ya chama tawala na mwanachama hai!!

Kwamba chama kimoja kikae madarakani Kwa miaka mingi bila kujali badiliko la nasaba ya kizazi kijacho!!

Maamuzi haya ndio yameleta haya maumivu!yaani upinzani hapa nchini ni uhalifu tena uhaini na adhabu yake ni kifo kwa mhusika chenye mateso makali!

Serikali yetu hii imeshindwa kabisa kutumia sayansinya siasa na utafiti Ili kudeal na mabadiliko ya kizazi hiki wanataka kizazi kiwaze kama wazee was miaka ya 70 badala ya kuwapa mpenyo wa kuponya mabadiliko Yao badala ya maumivu ya kuteka teka!

Kyle America Kila siku Kuna mabadiliko,pale uingereza Kila chaguzi PM anabadilika kutokana na issues!huku kwetu ccm ni sanamu lisilo badilika matokeo yake ndio haya!


Huko Duniani ndipo Kuna demokrasia sisi tumekalia kutekana na kuuana kulinda chama!
 
Wananchi hawajaamua tu kuwashughulikia Hawa wanaotumwa.wananchi wakiungana hao wanaotumwa ni rahis sana kuwashughulikia.Mfano mtu anakuja na noa toboa magurudumu ili usafiri wao ufe na kuanza kuwashughulikia na kuwauliza aliyewatuma ni nani Huku unakata miguu Yao kidogokidogo.Nguvu ya umma Huwa haishindwi kitu tatizo wtz mmezidi uoga.
 
List ya wengi wanaotekwa na kupotezwa ni wale raia wanao support au wanachama wa vyama pinzani na ccm. Hii inamaanisha nini?

Pia soma: Kuelekea 2025 - Rais Samia: Machifu waambieni wanasiasa ukweli vyeo havipatikani kwa kuua watu
  • Je, nikuwatisha raia wadishabikie vyama pinzani?
  • Je, watekaji hawapendi mfumo wa vyama vingi ambao upo kukaribia?
  • Je, watekaji wanaogopa ustawi wa vyama pinzani na ccm?
  • Je, watekaji wangependa turudi mfumo wa chama kimoja cha siasa? (Bora hii option kuliko yanayoendelea dhidi ya vyama pinzani na chama tawala?
Pia soma: SATIVA: Nilitekwa nikapelekwa Karakana ya Polisi Oysterbay kabla ya kusafirishwa sehemu nyingine na nimepigwa risasi ya kichwa

Nilichogundua,
- viongozi wa upinzani maarufu wanakamatwa na kushitakiwa kwenye mfumo rasmi wa sheria.

- Viongozi na supporters wa upinzani wasio maarufu, hutekwa na kujeruhiwa ama kupotezwa. Ni nani afanyaye haya?

- Lengo la hawa watekaji ni nini?
Ni CCM na genge lao la utekaji hawana sera sera Yao kubwa ni kuteka watu wa upinzani JK aliwahi kuwaambia wakiusema hatujafanya waambieni tumejenga mashule akaja magufuli yeye ni kuteka tuu hakua kiongozi Bali dikteta
 
Ni CCM na genge lao la utekaji hawana sera sera Yao kubwa ni kuteka watu wa upinzani JK aliwahi kuwaambia wakiusema hatujafanya waambieni tumejenga mashule akaja magufuli yeye ni kuteka tuu hakua kiongozi Bali dikteta
Mbona hoja yako kama mfu?

Magufuli alifariki lini, je vitendo hivyo viovu vilikoma alipokufa?

Kwa hiyo una mahaba sana na Serikali ya Samia kushindwa kuona ama kusikia yanayotendeka sasa hivi?
 
Ni CCM na genge lao la utekaji hawana sera sera Yao kubwa ni kuteka watu wa upinzani JK aliwahi kuwaambia wakiusema hatujafanya waambieni tumejenga mashule akaja magufuli yeye ni kuteka tuu hakua kiongozi Bali dikteta
Wanataka wawe huru kuiba mali za umma
 
Wananchi hawajaamua tu kuwashughulikia Hawa wanaotumwa.wananchi wakiungana hao wanaotumwa ni rahis sana kuwashughulikia.Mfano mtu anakuja na noa toboa magurudumu ili usafiri wao ufe na kuanza kuwashughulikia na kuwauliza aliyewatuma ni nani Huku unakata miguu Yao kidogokidogo.Nguvu ya umma Huwa haishindwi kitu tatizo wtz mmezidi uoga.
Kwa nchi ambazo zimewahi kupitia dhahama kubwa Kama hii inayoendelea hivi sasa hapa nchini, Watu/wananchi wa nchi hizo walitoa 'kafala' kubwa sana ili kukomesha vitendo viovu kama hivyo.
Haikuwa kazi rahisi hata kidogo.
 
Hili jambo la kutekwa kwa ndugu zetu, sijalifurahia kabisa linanipa hasira sana hii serikali, wangelikua wakenya wasigekubali huu ujinga " cjuwi cc nani katuroga?
 
Back
Top Bottom