mickytop46
Member
- Nov 10, 2010
- 39
- 6
Ni kwanini kwenye mahusiano wanawake ndo wanaongoza kusababisha mume kukosana na ndugu zake,wazazi , rafiki au mume kutowajali tena ndugu zake na wazazi wake pindi Wanapoowa au hta kabla ya kuowana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni kwanini kwenye mahusiano wanawake ndo wanaongoza kusababisha mume kukosana na ndugu zake,wazazi , rafiki au mume kutowajali tena ndugu zake na wazazi wake pindi Wanapoowa au hta kabla ya kuowana.
wanawake si chanzo
standng ya mwanaume ndo chanzo
kichwa pupuru mambo pupuru...kichwa imara mambo yoooooooooooote yanakuwa imara
we mtoto leo huendi lunch, ntakununia ooooohhhhhoooo!!!!!!!
ahhh haha haloooooooooooo naona wanipa altimatam ya kinuno....
usninue jaman mimi ntakufa....
nakusubir untoe lanch....