Habar wakubwa!kuna taasisi 1 inaitwa KAPADIA FOUNDATION ipo marekani,mmiliki ni mhindi anaeishi USA,wanadai kuwa wanafadhili wanafunzi maskini kuanzia diploma na kuendelea,so anayeifaham a2juze ili 2pate details za uhakika! shukran
mkuu wanapokufadhili ww hutoi hata senti tano,mambo yote wanafanya wao!wanatoa US$600,kisha utachangia 25% utakapo graduate ili kusponsor wengine,heb andika "kapadia foundation"kwenye google ujionee!