ndayilagije
JF-Expert Member
- Nov 7, 2016
- 7,491
- 8,304
Kosa langu ku share hiyo stori au!acha dhihaka mkuu kwa kutumia jina la MUNGU! tania mababu zako huko MUNGU hafananishwi na kitu chochote kile!
(sonyo)
Labda tunakosea kuabudu mkuu.huyo mbabe ndo anafanya hali inakuwa ngumi
usipende kuandika maneno ya Mungu na utani ! sio poa ! anywsy nmedeleteKosa langu ku share hiyo stori au!
Toa maoni acha kuhubiri.usipende kuandika maneno ya Mungu na utani ! sio poa ! anywsy nmedelete
ahhhhhhhh umenichekesha ! sikomentToa maoni acha kuhubiri.
Mtag ajeBasi Deogratius Kisandu aje kutupa maneno yake ya busara juu ya hili swala
Deogratius KisanduBasi Deogratius Kisandu aje kutupa maneno yake ya busara juu ya hili swala
Ungechekaje sasa na hizi tightened iron.ahhhhhhhh umenichekesha ! sikoment
Mwite tu tuyajenge.Basi Deogratius Kisandu aje kutupa maneno yake ya busara juu ya hili swala
Rafiki yangu mkolomije aliniambia hii habari,nami nimeshindwa kuisahau.
Eti kila siku tunapojazana kanisani tunamwabudu Mungu wa Ibrahim na akifurahi anawabariki watu wake huko kwao. Tukienda misikitini tunamwabudu Mungu wa Muhammad akifurahi utajiri unaongezeka huko kwao. Lakini tumemuasi Mungu wa Mkwawa na Milambo amekasirika shida zinaongezeka hapa kwetu,magojwa na umasikini.
Bado natafakari lakini naona kama kuna ukweli hapo.
Nini maoni yako.
Kwani kuna tatizo basi,kama maisha yetu yanakuwa vizuri maana hii dhana ya ushetani huwa haikai vizuri kichwani mwangu! Kama shetani yupo anajua kabisa kuwa yeye siyo Mungu.Tupewe elekezo la kumwabudu Mungu wetu ili neema zitushukie hapa kwetu.
Swali la kujituliza, Wengine wanataka tuishi kama shetani, sijui ndio wanaomwabudu? Maana mambo yanakuwa ndivyo sivyo chini ya utawala wao.
Labda siyo matajiri sana,ila wanamudu kuishi kwa viwango vya kuridhisha,wanauza mafuta,wanasoma vizuri,wanamiliki African houseworker mbona sisi kama tunarudi nyuma?Hivi nani aliyekuambia waarab ni matajiri? Achana na mawazo ya kijinga kama haya, il hoja yako ya kiimani ina mashiko sana, hata mimi nashangaa sie waafrika tumekuwa wajinga kivipi kushabikia vya wenzetu wakati Mungu alitupa maarifa, kwa makusudi eti tunayakataa. Uislam na Ukristo has no place in Afrika at all.
Mkolomije alikuwa mlevi kweli,ila jadili hoja yake.ni Ulevi tu........
Labda siyo matajiri sana,ila wanamudu kuishi kwa viwango vya kuridhisha,wanauza mafuta,wanasoma vizuri,wanamiliki African houseworker mbona sisi kama tunarudi nyuma?