Hivi ni kweli castle lite inapunguza hamu ya 'sex'?

Sio zote zingine zinakufanya uwe poa.
 
kunywa pombe asilia gongo,kangara,chibumu,kibuku ivi ipo au banana
 

Acha uongo na hisia zako kwenye majibu ya mambo serious! Wakuu hamna kitu kama hicho,huo ni unafki na uongo wa watu katika kuchafuana kibiashara!Castle Lite ipo mpaka South Africa,Brazil nk,haina madhara yoyote kwa mtumiaji kwanza ndo inaongeza nguvu zaid (like all alcoholic drinks).so suala hili la kupunguza ni zaidi ya uzushi na uzandiki!
 
Mimi nina uhakika kuwa hii tetesi ni uzushi mtupu,hakuna kitu kama hicho kwenye Castle Lite!Lazima wenye kueneza huu uvumi ni wapinzani kibiashara wa Castle Lite!naongea hivi with scientific facts na sio bla bla za mtaani!
 
Mimi nina uhakika kuwa hii tetesi ni uzushi mtupu,hakuna kitu kama hicho kwenye Castle Lite!Lazima wenye kueneza huu uvumi ni wapinzani kibiashara wa Castle Lite!naongea hivi with scientific facts na sio bla bla za mtaani!
mwaga nondo naona kama na wewe umetuacha hewani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…