kali linux
JF-Expert Member
- May 21, 2017
- 2,192
- 5,685
Nmecheka kweli, yaan sioni emoji inayofaa kuonesha hiliAsante kwa ushauri wako mkuu, nimeuthamini sana ushauri wako mungu akubariki sana.... Lakini mm nasema hivi sina ndugu jinga na senge kama hili GENTAMYCINE sijui linakula maharage ya wapi
Kuna baadhi ya comment ikabidi mods wazifute,ulikuwa UgomviUzi gn??? Weka link tuone?? Au alishawahi kutapeliwa na GENTA
Kashata tafadhali....Ila tambua hii Ni Jamii.
wale watu wa mtaani kwako,ndugu,majirani, etc
nao wapo Humu.
Jamii Ina kila Aina ya watu,
SI vyema kuwa na chuki/hasira/kisasi na mtu,haya ni maisha.
hahaha utajisikiaje utakapojua/kugundua Genta ndiyo Yule mpenzi wako anayekunyimaga usingizi?
au itakuwaje utakapogunda Genta ni ndugu yako Yule unayempenda SANAA ambaye Ni toka Ni toke.
nikupe kisa kidogo.
Kabla sijaja na hii I'd.kuna I'd fulani nilikuwa naitumia,Nilikuwa mchokozi na mtu wa matusi Sana.
Kuna siku nilimtukana mtu matusi Makali Sanaa na yeye akawa ananitukana matusi Makali,
tukafika mbali zaidi, tukaanza kutukaniana wazazi wetu na viungo vyao+Mambo ya kishoga kwa wazazi wetu.
Bahati mbaya I'd zilikuwa zinatudanganya..nakumbuka Ugomvi ulihamia Hadi Pm.
Mara Paaap siku, Nikawa nahitaji simu ya mshua nitume Email na barua ya kazini kwa Kamishina coz simu Yangu haikuwa na Moto (chaji) (Nilienda home kuwatembelea).
Baada ya kumaliza kazi zangu,nikiwa na peruzi na ku, check Apps za kwenye simu, ghafla nikashtuka kuona,Apps ya Jamiiforums.!nikawa na maswali mengi,ila nikaona Ngoja niingie Aha Hamad!!!!! nikakuta ile I'd AMBAYO nilikuwa natukanana nayo na Mambo mengine Kumbe Ni mzee wangu wa kunizaa KABISA.!
Nilikosa Nguvu na Pozi,na ndani ya Moyo wangu nikapata Maumivu Makali Sanaa coz kumbe nilikuwa nawatukana wazazi (Coz ilifikia extent nikawa naita ile I'd kuwa Ni punga na huwa nampigia mke wake)
ukitazama Ni matusi na laana AMBAYO nilijitengenezea .
ikabidi nimuite mzee na kumuomba Sana radhi na haikuishia Hapo hadi kwa Mama Yangu an ndugu zangu.
na hapo nikaachana na I'd ya mwanzo.
ila nikajiapiza kuwa,
Sitokuja kutukana,kumchukua mtu au kumjibu vibaya yeyote Humu Jf
coz wale wa mtaani na ndugu wa Koo na damu ndiyo Hawa Hawa huwa tupo nao Jamiiforums.
so Haina haja au Maana ya kuwa na chuki kwa Mtu.
Jaribu ku, relax na kupotezea
Mkuu.
na c WEWE hata kwa members wengine Wote
AHSANTE.
Hakufikii wewe shem!Monica yupo vizuri, jamaa alifaudu
Asante kwa ushauri wako mkuu, nimeuthamini sana ushauri wako mungu akubariki sana.... Lakini mm nasema hivi sina ndugu jinga na senge kama hili GENTAMYCINE sijui linakula maharage ya wapi
Teh shemela acha kumfananisha Monica na vitu vya kijinga😄Hakufikii wewe shem!
Genta anaomba poo yupo analia Lia.Uzi gn??? Weka link tuone?? Au alishawahi kutapeliwa na GENTA
Hahahaa! Shemela balaa lako si dogo ujue? Monica kakuzidi wigi tu labda..Teh shemela acha kumfananisha Monica na vitu vya kijinga[emoji1]
Genta kuwa Gentleman.Akhsanteni Uongozi wa JamiiForums na Moderators kwani nimelalamika Kwenu kuhusu huyu Member na Matusi yake makubwa Kwangu aliyoanza Kuyatoa tokea Juzi na nikaripoti Kwenu naona Kimya na anazidi tu Kunitukuna na Kunichokoza kwa Makusudi na kama haitoshi jana imenibidi nianze Uzi Kumlalamikia ila naona bado mpo Kimya na anazidi Kunichokoza na Kunitukana Matusi makubwa tu na ya Nguoni huku akiwa hana wasiwasi wowote. Sasa nimaemini Kauli yake ya juzi kuwa HAOGOPI KITU NA HAWEZI KUPATA BAN hapa na hata MKIMPIGA BAN bado atakuja Kunishambulia kwa ID's zake zingine.
Hakika nimeamini kuwa kalanga1 ni UNTOUCHABLE na kwamba kumbe kuna Members hapa JamiiForums ambao WAMEPEWA UHURU WOTE WA KUWADHIHAKI, KUWACHOKOZA na KUWATUKANA WATU watakavyo na bado Moderators wa JamiiForums WANAMUACHA NA KUMUANGALIA.
Hakuna UZI ambao sijaanzisha au Kuchangia kuanzia juzi, jana hadi hivi leo huyu Member kalanga1 asije KUNISHAMBULIA, KUNICHOKOZA na KUNITUKANA na bahati nzuri sehemu nyingi sana AMEANDIKA MWENYEWE KUWA HANIPENDI na USHAHIDI huu upo katika ' posts ' zake anazoniandikia. Labda niseme tu UVUMILIVU WANGU KWAKE UNAKAIBIA KUFIKIA KIKOMO hivyo nitaomba NISIJE KULAUMIWA nami NITAKAPOJIBU MAPIGO yangu. Binadamu ana KIWANGO CHAKE CHA UVUMILIVU.
Kama TATIZO NI UWEPO WA GENTAMYCINE HAPA JAMIIFORUMS NA PENGINE HATAKIWI NDIYO MAANA ANATAFUTIWA WATU AU UNATUNGWA MKAKATI MAALUM WA KUNICHOKOZA, KUNIDHIHAKI NA KUNITUKANA MATUSI MAKUBWA KAMA NAFIRWA, MSENGE NA MENGINEYO MENGI TU ILI KWAKUWA MNAJUA KUWA GENTAMYCINE ANA HASIRA ZA KARIBU NA KWAMBA NIMJIBU MNIPE BAN YA MAISHA WALA MSIENDE MBALI BALI MNAWEZA TU MKASEMA HAMNITAKI HAPA NA TUTAACHANA TU KWA AMANI.
Na siyo kwamba nashindwa KUJIBIZANA NAE TENA NINA MANENO MAKUBWA KULIKO HAYO YAKE ILA NALINDA HESHIMA YA HUU MTANDAO NA STAHA YANGU LAKINI NI KAMA VILE HUYU kalanga1 AMEPEWA KAZI MAALUM YA KUNISHAMBULIA HAPA HADI MIMI NIMNJIBU HOVYO KISHA MNIHUKUMU KWA BAN ZENU. Kuna Watu wengine WAKITUKANA TU MATUSI MADOGO MNAWAPA BAN KUBWA ILA NASHANGAA huyu Member kalanga1 TOKEA JUZI, JANA NA LEO ANANITUKANA MATUSI MAKUBWA KULIKO TENA WAZIWAZI NA AKISEMA HAOGOPI KITU NA BADO YUPO NA ANAENDELEA KUFANYA HIVYO.
Kama mnamuacha azidi KUNICHOKOZA na KUNITUKANA ili MPATE SABABU KUU YA KUNIPA BAN YA MAISHA AU NDEFU PENGINE LABDA KAMA LENGO LILIVYO AU MPANGO ULIVYO MSIJALI MUDA SI MREFU NASUBIRI AZIDI KUNITUKANA TENA ILI NAMI NIMJIBU KISHA MNIPE HIZO BAN ZENU. Nauheshimu sana na mno huu MTANDAO ILA NAONA SASA KUNA TATIZO MAHALA / SEHEMU NA SIDHANI KAMA HII NI HAKI na SEHEMU YA USAWA KWA MEMBERS WENGINE.
Cc: Maxence Melo , Mike Mushi , Asha D Abinallah , Paw, Moderator , Invisible
Sio Kwamba Putin ndio alifaidi?Monica yupo vizuri, jamaa alifaudu
Putin nae alimkula?Sio Kwamba Putin ndio alifaidi?
Hapana, ila Monica ana asili ya kwa Putin.Putin nae alimkula?
Genta kuwa Gentleman.
Kwani Maneno Yana UA?
unashindwa ku potezea????
wewe ni MWANAUME isije kuwa Ni wewe unatafuta attention Humu.
Acha kulalama. Wewe tumia ujasusi umjue then umpige miti Kisha ngumi mbili tatu then unasepaKama hayaumi inakuwaje Mim nikiiyatoa huwa napewa BAN za Wiki au Wiki mbili hapa? Je huyo kalanga1 Yeye ni SPECIAL sana au? Haki haingalii tabia ya Mtu na Sheria siku zote ni Msumeno. Hata hivyo usijali tayari Mhisika mwenyewe kalanga1 AMESHANITHIBITISHIA KWA MAELEZO YAKE KUWA HAWEZI KUPEWA BAN yoyote na kwamba MODERATORS wa JamiiForums WAMESHANIPUUZA NA NDIYO MAANA WANAMUACHIA NA HAWANA MUDA NA MIMI ila watakuwa na MUDA NA MIMI PALE TU NITAKAPOANZA KUJIBU MAPIGO YANGU ambayo bahati mbaya kuwa HAYACHAGUI ENEO LA KUSHAMBULIA / KUPIGA na huacha MADHARA MAKUBWA SANA KWA ADUI ' Mpumbavu ' wa mifano yenu.
Allegations of sexual contactClinton hakumlala Monica!. Alimuingiza tu Cigara na Monica akamchezea tu Bamia yake hadi akavunja yai kwenye Nguo ya Monica. Monica akachukua ile Nguo akaiweka ndo akaenda kumsimulia Mama Fulani walichofanya. Maza huyo akamwambia hiyo Nguo asiifue ndio akaenda mshatiki Clinton.