luangalila
JF-Expert Member
- Jan 12, 2014
- 6,346
- 6,928
UnafanyajeNishasikiaga ila sikuitilia manani ila kusafishia taa kweli inasaidia
Na taa inang'aa kwa mwaka mzima au baada ya siku tatu inarudia tena kufubaa?Nishasikiaga ila sikuitilia manani ila kusafishia taa kweli inasaidia
Tazama iyo video, mkuu ni kweli ina toa scraches lkn nafikir inategemea na aina ya michubuko,kuna mwingine aliniambia unasugua na ndimu,kila nikijaribu wapi,mikwaruzo iko palepale.