Nimekaa nawaza ujinga ujinga tu,
Hivi ni kweli dr. Charlse kimei aliekua Mkurugenzi wa Crdb ameamua kupumzika nafasi hiyo kabla ya muda wake kuisha au ndio mpango wa kuelekea kule alikoambiwa akienda atalipwa maradufu na alipo wakati wa uzinduzi wa lile jengo kata ya ziwa?
Wajuvi nitoeni ujinga kidogo.
Lukungano1
Never say never!