Hivi ni kweli, huwezi kuwa tajiri bila kufilisika?

Hivi ni kweli, huwezi kuwa tajiri bila kufilisika?

AlphaMale

JF-Expert Member
Joined
Oct 26, 2019
Posts
613
Reaction score
1,416
Kuna comment moja aliitoa mdau wa humu jf, alisema huwez kuwa tajiri bila kufilisika, akimaanisha kuwa kwenye harakati za utaftaji, huwez fikia mafanikio ya kifedha, bila kupitia kipindi cha kuishiwa pesa..

Kuna ukwel katika hili
 
Ndio lazima ufe ndio uwe tajiri hapa mjini
 
Hukuelewa kauli yake, kuishiwa fedha ni katika maana ya 'tumia pesa kupata pesa'... hivyo usiogope kuwekeza.

Mbegu ikipandwa ardhini, ili iote ichipue ni lazima ife kwanza.
 
Inategemea unatoka familia gani, kuna jamaa anaitwa francois nguema ni makamu wa rais wa nchi fulani hapa Africa, baba yake ni dikteta na rais tajiri sana so msela hajui shida na anamagari kuliko wacheza mpira wa ulaya

Huyo Francois Nguema baba yake Teodoro Obiang Nguema yuko madarakani tangu 79, yaani zaidi ya miaka 41 sasa.
 
Kuna comment moja aliitoa mdau wa humu jf, alisema huwez kuwa tajiri bila kufilisika, akimaanisha kuwa kwenye harakati za utaftaji, huwez fikia mafanikio ya kifedha, bila kupitia kipindi cha kuishiwa pesa..

Kuna ukwel katika hili
Matajiri ni risk takers.

Na walofilisika pia ( ukiachana na wafujaji, wala bata kizembe ) ni mostly ni risk takers.

So, kwenye risk taking lolote linaweza kutokea.
 
Kuna comment moja aliitoa mdau wa humu jf, alisema huwez kuwa tajiri bila kufilisika, akimaanisha kuwa kwenye harakati za utaftaji, huwez fikia mafanikio ya kifedha, bila kupitia kipindi cha kuishiwa pesa..

Kuna ukwel katika hili
Maumivu utakayopata unapofilisika ndiyo yatakayo kufunza nidhamu ya pesa
 
Huenda kufilisika unapata mawazo mapya. Unajizatiti katika kurekebisha makosa.
 
Back
Top Bottom