Hivi ni kweli inatakiwa kubeba results slip kwa form five shule uliyopangiwa?

monta

JF-Expert Member
Joined
May 6, 2014
Posts
1,271
Reaction score
1,803
Jamani naombeni mnifahamishe kama ni kweli inatakiwa kubeba results slip shuleni ili upokelewe ama la!mana sielewii
 
Lazima ubebe Result Slip, Leaving certificate na Birth certificate. IlI tuweze thibitisha uhalali wako yakwamba wewe kweli ni bwana X na vyeti vyako ni halisi na sio vya kughushi.
 
Siyo lazima.
Nilienda navyo ,but hawakuniomba.
Isipokuwa cheti cha kuzaliwa, kwa ajili ya file lako.
 
Lazima ubebe Result Slip, Leaving certificate na Birth certificate. IlI tuweze thibitisha uhalali wako yakwamba wewe kweli ni bwana X na vyeti vyako ni halisi na sio vya kughushi.

hyo c inategemeana na shule yenyewe au
 
Siyo lazima.
Nilienda navyo ,but hawakuniomba.
Isipokuwa cheti cha kuzaliwa, kwa ajili ya file lako.

hawezi kunirudisha kweli mkuu?
 
tutathibitishaje kama ni Wewe? nimekunote ole wako usilete
 
Haya majanga yamenikuta mwenzio nadaiwa hadi hela za form one ili nipewe slip
kuna watu wana roho ngumu katika dunia hii
 
Kwa government result slip haitakiwi maana majina yalishaenda shule we ukifika unaambiwa utaje jina na shule uliyotoka then wana confirm na lazima uende na birth certificate kwa matumizi yao ikiwepo kuandaa leaving certificate basi...

Result slip zinatumiwa na shule za private maana hawana proof yoyote ya ufaulu wako. Ila kwa government walishachagua tayar na wizara walio faulu hawana haja ya kuthibitisha tena
 

nakushukuru sana mkuu kwa msaada wako
 
Kwani unaona shida gani kwenda na copy ya result slip?
 
Nakushauri nenda nayo ili kuepusha usumbufu.
Me nlisoma government na tulisumbuliwa sana...
Copy ya cheti cha kuzaliwa pia muhimu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…