Mwana Mpotevu
Platinum Member
- Sep 7, 2011
- 3,295
- 2,501
Nimekutana na ripoti ya utafiti mmoja inaonyesha kuwa wanawake wengi hawapendi wanaume wanaonyoa nywele zao za chini zote (katika pubic area) kwa madai kuwa wanaume wanaonyoa nywele hizo zote ni mashoga.
Mwishowe watatasema wanawake wengi wanapenda wakutane na mwanaume mwenye rasta huko maeneo!
mmmh, sijui ni asilimia ngapi wanaoamini hivyo.
Nywele ni big turn off.
Mambo ya kupotelea amazon forest???
Mwishowe ukutane na mbung'o bure
umekutana nayo wapi? kuna siku hata sisi tunaonyoa ndevu mtatuambia ni .................
hao wanawake ni wa dunia hii?
minywele huko chini mwanaume ya nini?
mtu akila koni aanze kusogeza minywele pembeni....
na huwezi kumung'unya gololi kisa kuna minywele?
loh i hate minywele..... kule raha yake kuwe safi banaaaa tena mwanaume uwe msafi uoge na kujikausha vizuri kumpa fursa mwenzio kuzama huko akiibuka yupo poa, na sio kuibuka na minywele mdomoni...
Kuna rafiki yangu anasemaga siwezi kuhangaika na mwenye shamba yupo. Uzuri hiyo sekta nakarabati mwenyewe, siku nikitaka kiduku ama kipara ngoto, ama rasta kazi ni kwangu. Hana mamlaka na hilo eneo.
Mambo ya kutumia toothpick afterwards Kongosho, inahuuuu?
ha ha ha ha, dred za kufa mtu
unakuta kabana moja.
Kuna rafiki yangu anasemaga siwezi kuhangaika na mwenye shamba yupo. Uzuri hiyo sekta nakarabati mwenyewe, siku nikitaka kiduku ama kipara ngoto, ama rasta kazi ni kwangu. Hana mamlaka na hilo eneo.
Mambo ya kutumia toothpick afterwards Kongosho, inahuuuu?
Afu kibanio chenyewe ukute ndo kimetengenezwa kama kimtindo mtindo haki ya Mungu mtu atatoka nduki maana atadhani jamaa anazo 2 kumbe moja ni kibanio cha design yake!
Hahahahahahahahahaha My ribs plssssssss Babaubaya