@Ukwaju Nadhani wajua ripoti ya utafiti ipo katika maandiko mkuu. lakini kuhusu ndevu, kuna mwanamke aliwahi kuniambia anapenda niwe na ndevu muda wote sababu nikimgsa nazo zinamsisimua, nikinyoa anapoteza ule msisimko kama anaoupata nikiwa na ndevu. Toa neno na hapa
kwa nini sasa usiende kuulizia kwa huyo mwanamke na kuhusu hili la nywele?
Naogopa kuchangia eti below 18 haturuhusiwi ijapokuwa tuna nywele hayo maeneo!
mmmh, sijui ni asilimia ngapi wanaoamini hivyo.
Nywele ni big turn off.
Mambo ya kupotelea amazon forest???
Mwishowe ukutane na mbung'o bure
na kwanza unafanya nini humu? umemaliza homework yako ya Civics?? nikihesabu mara tatu nikute umetoka humu fasta
Kuna rafiki yangu anasemaga siwezi kuhangaika na mwenye shamba yupo. Uzuri hiyo sekta nakarabati mwenyewe, siku nikitaka kiduku ama kipara ngoto, ama rasta kazi ni kwangu. Hana mamlaka na hilo eneo.
Mambo ya kutumia toothpick afterwards Kongosho, inahuuuu?
Naona huu ni ukumbi wa wanawake tu,ngoja nisepe,ila BADILI TABIA umeharibu asubuhi yangu. . . Lol!
hao wanawake ni wa dunia hii?
minywele huko chini mwanaume ya nini?
mtu akila koni aanze kusogeza minywele pembeni....
na huwezi kumung'unya gololi kisa kuna minywele?
loh i hate minywele..... kule raha yake kuwe safi banaaaa tena mwanaume uwe msafi uoge na kujikausha vizuri kumpa fursa mwenzio kuzama huko akiibuka yupo poa, na sio kuibuka na minywele mdomoni...
Hii midomo ya baadhi ya akina dada wa siku hizi kumbe ina majukumu makubwa hivi, ...!
Sorry, napita tu ....
Halulaa...
Sio kina dada tu hata wakaka midomo yao ina kazi 'mbadala'
hao wanawake
ni wa dunia hii?
minywele huko chini mwanaume ya nini?
mtu akila koni aanze kusogeza minywele pembeni....
na huwezi kumung'unya gololi kisa kuna minywele?
loh i hate minywele..... kule raha yake kuwe safi banaaaa tena mwanaume
uwe msafi uoge na kujikausha vizuri kumpa fursa mwenzio kuzama huko
akiibuka yupo poa, na sio kuibuka na minywele mdomoni...