Hivi ni kweli kabisa MwanaJF Joseverest ametoweka kabisa na nafasi yake ya 2 ktk kila mada kuwa wazi!?

Hivi ni kweli kabisa MwanaJF Joseverest ametoweka kabisa na nafasi yake ya 2 ktk kila mada kuwa wazi!?

tramadol

JF-Expert Member
Joined
Oct 10, 2015
Posts
5,383
Reaction score
4,323
Huyu jamaa kama vile namuona akiwa kila mada ni mchangiaji wa kwanza kwa kwa Ku comment akiwa wa pili toka kwa mtoa mada.

Lakini kwasasa haonekani tena kwa kutoweka ghafla!

Hivi amebadili ID au tu ameacha Ku comment?

Last time to see his/her comment ni muda Sasa mpaka inatupa mashaka uwepo wake!

Kama Kuna mwenye taarifa zake plse ingawaje najua Kuna watu watakuja kuwa ni TISS hao!!

Jamaa Nakumbuka sana comments zake ni fupi na zisizo na maneno ya kuudhi kiukweli.

I real miss you Joeverest? Please comeback!! Tulikuzoea!!
 
e798ab3dc8899e0158476f1579421ac6.jpg
 
Back
Top Bottom