jamani uhaminif umepungua kwa kiasi kikubwa miongoni mwa wapenz ,sasa hatua zinazofaa zichukuliwe haraka kunusuru vizazi vjavyo,kwani naisi watu wataanza kusaka wachumba pindi tu anapozaliwa ata huwezo wa kuongea hajapata kwa kweli kama ni utandawazi basi ili ni kiboko!