Hivi ni kweli kuishi karibu na palipo mnara ni hatari kwa afya ?

Hivi ni kweli kuishi karibu na palipo mnara ni hatari kwa afya ?

wa stendi

JF-Expert Member
Joined
Jul 7, 2016
Posts
25,190
Reaction score
27,434
Kumekua na maneno/minong'ono ya watu kuwa kwa mfano una kiwanja au shamba lako unakoishi alafu haya makampuni ya mitandao ya cm ikataka kuweka mnara kwenye eneo lako karibu na nyumba ni hatari kwa afya eti kwa sababu kwenye mnara kuna mionzi mikali sana ya mawasiliano inaadhiri baadhi ya seli hali ya mwili.
Je!kuna kuna ukweli wowote au ni maneno tuu ya wasiojua/elewa?
 
Minara inatoa Radiofrequency waves(RF) ambazo zinasadikika kusababisha saratani,mabadiliko ya kikemikali ya mwili na ugonjwa wa mionzi RFS ila haijathibitika bado wanatafiti kujua ukweli...
Mamlaka husika kama TCRA wanasema haina madhara yanayoweza kudhuru ila wanashauri mtu akae mbali angalau mita 200 kutoka kwenye minara...
 
Kama ina madhara basi ni janga hilo- kwani vibali vya kujenga minara, tena kwenye maeneo ya makazi, hutolewa na Mamlaka husika !!! Nataka kuamini kwamba bado hakuna ushahidi kwamba minara ina madhara kwa binadamu !!
 
Kama ina madhara basi ni janga hilo- kwani vibali vya kujenga minara, tena kwenye maeneo ya makazi, hutolewa na Mamlaka husika !!! Nataka kuamini kwamba bado hakuna ushahidi kwamba minara ina madhara kwa binadamu !!
You know nothing
 
Back
Top Bottom