Hivi ni kweli kuna upungufu wa vioo "Black Tinted Glass" hapa Dar es Salaam kwa wauzaji wakubwa?

Hivi ni kweli kuna upungufu wa vioo "Black Tinted Glass" hapa Dar es Salaam kwa wauzaji wakubwa?

Kwekitui

JF-Expert Member
Joined
Oct 29, 2017
Posts
1,070
Reaction score
1,083
1639731932957.png


Kuna fundi mmoja amepewa kazi na baba yangu mzazi ya kutengeneza madirisha ya Aluminum,
cha ajabu hii ni wiki ya 2 sasa anamwambia baba eti vioo havipatikani.

Je wakuu kuna ukweli hapo eti vioo vya Dark Grey havipatikani nchini kwa sasa?
Kama kuna anayeuza kwa jumla tafadhali anisaidie nije tufanye biashara

Vioo.PNG
 
View attachment 2047295

Kuna fundi mmoja amepewa kazi na baba yangu mzazi ya kutengeneza madirisha ya Aluminum,
cha ajabu hii ni wiki ya 2 sasa anamwambia baba eti vioo havipatikani.

Je wakuu kuna ukweli hapo eti vioo vya Dark Grey havipatikani nchini kwa sasa?
Kama kuna anayeuza kwa jumla tafadhali anisaidie nije tufanye biashara

View attachment 2047325
Hela mshampa??
 
View attachment 2047295

Kuna fundi mmoja amepewa kazi na baba yangu mzazi ya kutengeneza madirisha ya Aluminum,
cha ajabu hii ni wiki ya 2 sasa anamwambia baba eti vioo havipatikani.

Je wakuu kuna ukweli hapo eti vioo vya Dark Grey havipatikani nchini kwa sasa?
Kama kuna anayeuza kwa jumla tafadhali anisaidie nije tufanye biashara

View attachment 2047325
Yuko sahihi ,,Vioo saizi havipatikani Sana na wachina wamepunguza kuvizarisha ,,Mimi Nina ofisi nauza chuma Cha aluminum ,Vioo Aina zote na vifaa vingine pia natengeneza milango, madirisha,na shughuli nyingin zote zinazohusu aluminium ,,

Kioo saizi hakipo na hata ukikipata kimapanda asilimia zaidi ya 💯,,
 
Kuna kazi ya mteja hapa tunayo leo imefunga mwezi kioo anachotaka Halipo bongo hii, kimeadimika tumejaribu kumshawishi abadili kioo kagoma na sisi tumeachana naye ,,ukitaka kuamini nenda kaulize madukani yote na supplier hamna kioo
 
Kuna kazi ya mteja hapa tunayo leo imefunga mwezi kioo anachotaka Halipo bongo hii, kimeadimika tumejaribu kumshawishi abadili kioo kagoma na sisi tumeachana naye ,,ukitaka kuamini nenda kaulize madukani yote na supplier hamna kioo
Yawezekana kweli jana nimetoka kununua kioo huko ndani tena cha nyumba iliyovunjwa
 
View attachment 2047295

Kuna fundi mmoja amepewa kazi na baba yangu mzazi ya kutengeneza madirisha ya Aluminum,
cha ajabu hii ni wiki ya 2 sasa anamwambia baba eti vioo havipatikani.

Je wakuu kuna ukweli hapo eti vioo vya Dark Grey havipatikani nchini kwa sasa?
Kama kuna anayeuza kwa jumla tafadhali anisaidie nije tufanye biashara

View attachment 2047325
Ni kweli kabisa vioo ni shida kwanza vilikuwa vinauzwa kati ya 73000 mpaka 75000 kwa sheet, ikapanda ikaja 120000, ikapata ikaja 170000 now hata ukipata mara nyingi ni kwa 180000.
Vioo ni shida sana. Sijui shida nini
 
Kioo kimepanda bei mpaka inaogopesha.. eti clear glass ya 4mm inafika 3500 kwa square foot?????? Dah.. ngachokaa.. wakati mwaka jana mwishoni nilinunua kwa tshs 1500...
 
Kioo kimepanda bei mpaka inaogopesha.. eti clear glass ya 4mm inafika 3500 kwa square foot?????? Dah.. ngachokaa.. wakati mwaka jana mwishoni nilinunua kwa tshs 1500...
 
View attachment 2047295

Kuna fundi mmoja amepewa kazi na baba yangu mzazi ya kutengeneza madirisha ya Aluminum,
cha ajabu hii ni wiki ya 2 sasa anamwambia baba eti vioo havipatikani.

Je wakuu kuna ukweli hapo eti vioo vya Dark Grey havipatikani nchini kwa sasa?
Kama kuna anayeuza kwa jumla tafadhali anisaidie nije tufanye biashara

View attachment 2047325
Sio kwamba havipo bali bei imepaaa mbaya
 
sio tinted tu kifupi kioo kimepanda sana bei kuanzia mwezi wa saba kitu kilichopelekea wauzaji wakubwa wa kioo bongo kama blue bay na CGGG na Sunda kupunguza kiasi cha kuagiza mzigo na hata wakiingiza mzigo bei yake haikamatiki, mfano kioo cha one way 5*6 mm 4 kilichokua kikiuza kati ya 0 hadi 80 mwezi wa saba sasa kinauzwa kati ya 150 hadi 160, ila kuna wakali walioweka mzigo stock wanauza kwa bei flani ya kizalendo sema ndio uwe na network
 
dah haya, naona waturuki wanakuja tena kufungua maduka yao.....

Sio lazima tutumie hizo aluminium sasa, tuendelee tu technolojia yetu, madirisha yetu yale ya mbao na nondo + nyavu za mbu maisha yanaendelea....

Majumba yenyewe yako ndani ya maukuta marefu nyuma imefichwa ndani huko, urembo wa nini sasa?
 
Ni kweli kabisa vioo ni shida kwanza vilikuwa vinauzwa kati ya 73000 mpaka 75000 kwa sheet, ikapanda ikaja 120000, ikapata ikaja 170000 now hata ukipata mara nyingi ni kwa 180000.
Vioo ni shida sana. Sijui shida nini
Madhara ya corona hayo!

Watu huko kwa wenzetu walikuwa wanafanyia kazi majumbani sasa utahamisha kiwanda kwenda nacho nyumbani kweli?

Yani hapa tutaanza kupumua may be kuanzia mwakani mwezi wa 6.

Kingine mikodi ya hovyo hovyo
 
dah haya, naona waturuki wanakuja tena kufungua maduka yao.....

Sio lazima tutumie hizo aluminium sasa, tuendelee tu technolojia yetu, madirisha yetu yale ya mbao na nondo + nyavu za mbu maisha yanaendelea....

Majumba yenyewe yako ndani ya maukuta marefu nyuma imefichwa ndani huko, urembo wa nini sasa?
Mbao ni expensive kuliko aluminum
 
Kioo kimepanda bei mpaka inaogopesha.. eti clear glass ya 4mm inafika 3500 kwa square foot?????? Dah.. ngachokaa.. wakati mwaka jana mwishoni nilinunua kwa tshs 1500...
Clear glass ya 4mm huku 5000 na 5 mm ni 6000 na kukipata ni shida sana
 
Back
Top Bottom