Travis wright
Member
- Jun 7, 2013
- 14
- 1
Kuna rafk yangu amekuwa akisemwa sana kwamba anatumia ushirikina katka masomo na hiyo imetokana na kushikilia nafasi ya kwanza toka 4m 1 mpaka 4m 4...na amepata 1 ya 10 mtihan wa taifa..hivi aya mambo yapo kweli?