ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 21,643
- 51,642
Una uhakika au ni MANENO uliyoyakuta na umeamua kuyaendelezacc Lizabon, Rutashobolwa, Pasco Mayalla
Ebu tuue mzizi WA fitina kuna ushahidi gani nje ya hoja zake kuwa anafanya Kwa maslihai ya kina fulani WanaomtumaFaizafox
Wamekutuma au?!Ni Mara nyingi nimeskia kuwa zipo ID ambazo zinapewa pesa (7000) Kwa siku malengo ni Kwa ajili ya kuanzisha propaganda jukwaa LA siasa au katika jitihada za uenezi kisiasa . Lakini mimi binafsi nimeshindwa kuamini Kwa kuwa uthibitisho ni mdogo. Napenda niskie kutoka Kwa wanaojua kama hio Habari huwa ni kweli au ni uwongo. Na ni member gani Hao unaweza pia kuwataja ila uwe na ushahidi WA ukweli na sio kufuata mkumbo WA kukurupuka
Hapana hawajanitumaWamekutuma au?!