Atalanta
Member
- May 25, 2022
- 72
- 251
Thread hii haipo kwaajili ya kupotosha au kuhamasisha imanipotofu dhidi ya H.I.V. UKIMWI upo na unaua!
Wapo baadhi ya watu ambao walishawahi kupata H.I.V Lakini Baadae wakaja kupona. Wengine huweka wazi Lakini wengine hawaweki wazi. Wengi wao hupona kwa Kutumia dawa za asili na wengine kwa njia wanazozijua wao. Kwakua Mpaka Sasa hakuna dawa ilyopitishwa inayoweza kutibu ugonjwa huu.
Mfano wakati nipo Mdogo nilishawahi kusikia kua kulikua na Bibi mmoja ambae yeye alikua akitibu H.I.V kwa Kutumia majani ambayo alikua akiyakausha kivulini "Mahali popote ambapo hapana Jua" baadae na kuchanganya na madawa mengine Kisha kupata dawa ambayo mgonjwa atakua anakunywa.
Majani yake siyakumbuki jina kwa saizi ila nahisi ni Mlonge Lakini sinahakika Kama ni yenyewe. Nasikia alishawahi kuwatibu baadhi ya watu. "Kama wapo humu wanaweza wakasema itakua vizuri"
Pia humu JF kulishawahi kuwa na thread zinazohusu watu kupona HIV Lakini nyingi Mods waliziondoa. Kwa manufaa ya wengine Naomba Kama Kuna ukweli kuhusu hizi story za watu kupona H.I.V Basi ziwekwe wazi hapa. Najua wapo wengi wenye uhitaji Naamini kabisa hata Serikali inaweza toa mchango wake ili kusaidia Janga hili. Karibuni ...
Wapo baadhi ya watu ambao walishawahi kupata H.I.V Lakini Baadae wakaja kupona. Wengine huweka wazi Lakini wengine hawaweki wazi. Wengi wao hupona kwa Kutumia dawa za asili na wengine kwa njia wanazozijua wao. Kwakua Mpaka Sasa hakuna dawa ilyopitishwa inayoweza kutibu ugonjwa huu.
Mfano wakati nipo Mdogo nilishawahi kusikia kua kulikua na Bibi mmoja ambae yeye alikua akitibu H.I.V kwa Kutumia majani ambayo alikua akiyakausha kivulini "Mahali popote ambapo hapana Jua" baadae na kuchanganya na madawa mengine Kisha kupata dawa ambayo mgonjwa atakua anakunywa.
Majani yake siyakumbuki jina kwa saizi ila nahisi ni Mlonge Lakini sinahakika Kama ni yenyewe. Nasikia alishawahi kuwatibu baadhi ya watu. "Kama wapo humu wanaweza wakasema itakua vizuri"
Pia humu JF kulishawahi kuwa na thread zinazohusu watu kupona HIV Lakini nyingi Mods waliziondoa. Kwa manufaa ya wengine Naomba Kama Kuna ukweli kuhusu hizi story za watu kupona H.I.V Basi ziwekwe wazi hapa. Najua wapo wengi wenye uhitaji Naamini kabisa hata Serikali inaweza toa mchango wake ili kusaidia Janga hili. Karibuni ...