Hivi ni kweli kwamba imeshidikana kabisa kumshusha Diamond Platnumz licha ya juhudi zote kutoka kwa haters?

You are damn right

My basic point is... Kwanini hizi mediA ambazo zinahisi zina bifu nae (tena bifu la kijinga) zisikutane na Mondi at round table..and settle the matter out..
Don't they see the money they can make...!!??
Uchawi ni ktu kibaya sana.
Hahahaaaaa mnashangaza sana yani mnahisi wanaopata hasara ni medias tu...hamumfikirii na jamaa?.coz siyo kweli kwamba tz nzima wataskiza wasafi fm tu mzee au kuangalia wasafi tv tuu...hakuna mkubwa zaidi ya taasisi...hakuna taasisi ya kipuuzi ya kumpigia magoti mtu aina ya Diamond hakuna.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukitaka kujua Hilo kapitie uzi za Playboy ambaye ni fan wa kiba ambazo amemsifia kiba alafu angalia comments za members walivyomjibu.Huyu jamaa hakuna hata comment mmoja inayomuunga mkono zaidi ya watu kubeza kiba.
Unafatilia kumbe eeh?..safi why unafatilia coz uliona KIBA ryt there and z not true kwamba people going there to fight against I, na sio kweli kwamba wote walienda pale kussuport wote walikuja kila mtu kwa mawazo yake na by the way huwaga situmii maneno mazuri saana kwenye thread zangu so wao lazima waje kwa wingi coz huwa ni maneno ya kumtoa NYOKA PANGONI.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aaaaaah kaka acha bwanaaaa so hizi ni drama tu kama za DIAMOND karanga...kumbe wenyewe wapo???.....kwiiiiiikwiiiiikwiiiiiiii.....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kila jambo ni kwa majira na Nyakati zilizokubaliwa, wakati ukifika atashuka tu.
 
Hater,,,,

Sent using Jamii Forums mobile app
 
one year later, guess who is still on top?
 
one year later, guess who is still on top?
Unapima kwa makelele ya mashabiki wake online? Hivi kelele za kina meneja wake salama kipindi kile show mil 20 zimefikia wapi? Sema huwa simfatilii msaniii wenu ningeingia chimbo na kukufanyia analysis ya DOmo uone jinsi alivyoshuka kimuziki.
 
Mond ni level nyingine,Kama hawajuhi kilichompandisha,watawezaje kumshusha?
Mond ni zaidi ya mwanamuziki wa bongofleva,usimfananishe na kina benpaul,Juma necha,
Huyu ni mfanyabiashara,amewekeza kwenye real estates,apartments,yupo kwenye media,anamiriki vyombo vya habari,hata akiacha kuimba leo,pesa yake inamfanyia kazi.
 
Unapima kwa makelele ya mashabiki wake online? Hivi kelele za kina meneja wake salama kipindi kile show mil 20 zimefikia wapi? Sema huwa simfatilii msaniii wenu ningeingia chimbo na kukufanyia analysis ya DOmo uone jinsi alivyoshuka kimuziki.
Mzee anashukaje kimziki ikiwa kila siku anatanua wigo wa fans nchi za nje na namna ambavyo humu Tanzania anavyokubalika sijui hiyo jeuri ya kusema hivyo unaitoa wapi?
 
Unapima kwa makelele ya mashabiki wake online? Hivi kelele za kina meneja wake salama kipindi kile show mil 20 zimefikia wapi? Sema huwa simfatilii msaniii wenu ningeingia chimbo na kukufanyia analysis ya DOmo uone jinsi alivyoshuka kimuziki.
pumbavu mkubwa leta fact, na kelele za MASHABIKI means anahit, why sio aslay, Ben pol,belle9, richmavoko, alikiba Wala beat nassor kuwa na mashabiki na kupigiwa kelele hila diamond platinumz THE G. O. A. T[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Unapima kwa makelele ya mashabiki wake online? Hivi kelele za kina meneja wake salama kipindi kile show mil 20 zimefikia wapi? Sema huwa simfatilii msaniii wenu ningeingia chimbo na kukufanyia analysis ya DOmo uone jinsi alivyoshuka kimuziki.
hivi embu nijuze, ameshuka akawa chini ya nani? harmonise au kiba?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…