Hivi ni kweli kwamba vitambulisho havijawasaidia wajasiliamali wa dogo na machinga ?

Hivi ni kweli kwamba vitambulisho havijawasaidia wajasiliamali wa dogo na machinga ?

ZALEMDA

JF-Expert Member
Joined
Aug 15, 2017
Posts
1,956
Reaction score
2,225
Ebu tusema ukweli.hata kama ilionekana ni utaratibu mpya umewekwa ili kundi hili linalojitafutia pesa kwa njia ya kipato kidogo lisisumbuliwe kwa njia Yoyote ile kwa kutambuliwa na mamlaka za serikali .wapinzani mmeligeuza kwamba ilikuwa ni njia ya serikali kupata kodi kutoka kwa watu hawa.jamani kwani shida iko wapi ikiwa kila mtanzania akachanhia pato la taifa?
Ebu tuwe wa kweli .Majasiliamali huyu ambaye atapata kitambulisho kwa shilling 20,000 kwa mwaka,ina maana hata kama ingekuwa ni aina ya kodi maana yake ni kwamba anatozwa shilling 1650 kwa mwezi.kwa hiyo mnaolalamika mnaona kutozwa shilling 1650 kwa mwezi ni nongwa kiasi cha kuona kuwa awamu ya tano haiwatendei haki machinga na wajasiliamali wadogo?kwamba mjasiliamali Huyu hajapata 1650 kwa mwezi ?tuwage serious!! Lakini machinga huyu analilia Barabara ya lami, zahanati,huduma bure ya mama na mtoto,mtoto wake asomeshwe bure ,analilia maji na umeme,lakini asilipe Kodi hata kidogo!!! Common guys!! Ok tuchukulie kwamba vitambulisho vitolewe bure hivi hiyo machine ya kupritia vitambulisho mmeipata bure na kama ni bure haitaiji service?juzi mmepinga kwamba hatuko uchumi wa kati lakini bado mnataka huduma zote zitolewe bure na serikali au nchi maskini.common!!

Mnaotaka kutoa elimu bure ,mikopo bure ya elimu ya juu ,bima za afya bure au gharama nafuu,kila kitu bure bure bure bure ,chakula bure mashuleni ni kwamba mnawadanganya wananchi ili mpate kura mwingie ikulu lakini hamna mipango madhubuti ya kumkomboa mtanzania kutoka katika umaskini wa ki akili na kouchumi.at the end lazima taifa life kwa sababu hakutakuwa na miundo mbini imara ya kiuchumi. Aidha mmedanganywa na wazungu ili muje kuuza ardhi ya nchi ili wazungu wachimbe dhahabu nakuacha nchi ikiwa imejawa na Mashimo kila mahali huku watoto na wajukuu wetu wakifunikwa na Mashimo hayo kipindi cha mvua.

Mnapotaka kuanzisha mambo msikopy na kupesti kutoka ughaibuni maana historia ya mataifa hayo huijui vizuri.Leo ukitaka tukopy na kupesti kutoa America, UK,Canada etc kumbuka kuwa uchumi wao umejengwa na mababu zetu kipindi cha utumwa .capital kwao ilikuwa cheap labor from our ancestors who were taken from Africa .

Mh Rais JPM,nakuomba hoja zengine usiwe unazijibu haraka maana hawa wapinzani hawaulizi ili waelewe bali ili wakutege.Kumbuka Kuwa wanasheria ndiyo zao kugeuza maneno ili kutoa haki pasipo haki.wanasheria wanaweza kumtetea Muuaji kabisa tena huku wakijua ni kweli ameua lakini kwa kugeuza maneno akapata haki pasipo haki.

Ukitaka kujua kuwa vitambulisho havikuwasaidia wajasiliamali wadogo nenda kawaulize .if no research no right to speak.

Tujenge taifa letu sisi sote kwa pamoja
 
Ebu tusema ukweli.hata kama ilionekana ni utaratibu mpya umewekwa ili kundi hili linalojitafutia pesa kwa njia ya kipato kidogo lisisumbuliwe kwa njia Yoyote ile kwa kutambuliwa na mamlaka za serikali .wapinzani mmeligeuza kwamba ilikuwa ni njia ya serikali kupata kodi kutoka kwa watu hawa.jamani kwani shida iko wapi ikiwa kila mtanzania akachanhia pato la taifa?
Ebu tuwe wa kweli .Majasiliamali huyu ambaye atapata kitambulisho kwa shilling 20,000 kwa mwaka,ina maana hata kama ingekuwa ni aina ya kodi maana yake ni kwamba anatozwa shilling 1650 kwa mwezi.kwa hiyo mnaolalamika mnaona kutozwa shilling 1650 kwa mwezi ni nongwa kiasi cha kuona kuwa awamu ya tano haiwatendei haki machinga na wajasiliamali wadogo?kwamba mjasiliamali Huyu hajapata 1650 kwa mwezi ?tuwage serious!! Lakini machinga huyu analilia Barabara ya lami, zahanati,huduma bure ya mama na mtoto,mtoto wake asomeshwe bure ,analilia maji na umeme,lakini asilipe Kodi hata kidogo!!! Common guys!! Ok tuchukulie kwamba vitambulisho vitolewe bure hivi hiyo machine ya kupritia vitambulisho mmeipata bure na kama ni bure haitaiji service?juzi mmepinga kwamba hatuko uchumi wa kati lakini bado mnataka huduma zote zitolewe bure na serikali au nchi maskini.common!!

Mnaotaka kutoa elimu bure ,mikopo bure ya elimu ya juu ,bima za afya bure au gharama nafuu,kila kitu bure bure bure bure ,chakula bure mashuleni ni kwamba mnawadanganya wananchi ili mpate kura mwingie ikulu lakini hamna mipango madhubuti ya kumkomboa mtanzania kutoka katika umaskini wa ki akili na kouchumi.at the end lazima taifa life kwa sababu hakutakuwa na miundo mbini imara ya kiuchumi. Aidha mmedanganywa na wazungu ili muje kuuza ardhi ya nchi ili wazungu wachimbe dhahabu nakuacha nchi ikiwa imejawa na Mashimo kila mahali huku watoto na wajukuu wetu wakifunikwa na Mashimo hayo kipindi cha mvua.

Mnapotaka kuanzisha mambo msikopy na kupesti kutoka ughaibuni maana historia ya mataifa hayo huijui vizuri.Leo ukitaka tukopy na kupesti kutoa America, UK,Canada etc kumbuka kuwa uchumi wao umejengwa na mababu zetu kipindi cha utumwa .capital kwao ilikuwa cheap labor from our ancestors who were taken from Africa .

Mh Rais JPM,nakuomba hoja zengine usiwe unazijibu haraka maana hawa wapinzani hawaulizi ili waelewe bali ili wakutege.Kumbuka Kuwa wanasheria ndiyo zao kugeuza maneno ili kutoa haki pasipo haki.wanasheria wanaweza kumtetea Muuaji kabisa tena huku wakijua ni kweli ameua lakini kwa kugeuza maneno akapata haki pasipo haki.

Ukitaka kujua kuwa vitambulisho havikuwasaidia wajasiliamali wadogo nenda kawaulize .if no research no right to speak.

Tujenge taifa letu sisi sote kwa pamoja
Ukiwa muoga na hujui kujenga hoja na ukifanya kizuri bado kitakuwa kibaya tu.
Kinachoiponza ccm ni namna walivyobana pesa isiwepo mtaani na ukosefu wa uhuru kwa watu na media na bunge.

Jamii ina hasira pia na ukosefu wa hatima ya wasiojulikana na ina amini ni ccm hao hao.

Binafsi mazuri ya Magufuli yapo ila mabaya ni mengi yananyonywa na mabaya mengi mfano unyanyasaji kwa wakulima na wafanyakazi na ukosefu wa ajira uliosababishwa na udhaifu wa taasisi binafsi zilizodhoofishwa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Serikali ya wanyonge ingetoa vitambulisho bure kwa kundi hili kama lengo ni kuwasaidia wasisumbuliwe wakiwa wanafanya biashara zao.
 
Ukiwa muoga na hujui kujenga hoja na ukifanya kizuri bado kitakuwa kibaya tu.
Kinachoiponza ccm ni namna walivyobana pesa isiwepo mtaani na ukosefu wa uhuru kwa watu na media na bunge.

Jamii ina hasira pia na ukosefu wa hatima ya wasiojulikana na ina amini ni ccm hao hao.

Binafsi mazuri ya Magufuli yapo ila mabaya ni mengi yananyonywa na mabaya mengi mfano unyanyasaji kwa wakulima na wafanyakazi na ukosefu wa ajira uliosababishwa na udhaifu wa taasisi binafsi zilizodhoofishwa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Nashukuru kwa comments nzuri.lakini waweza kufafanua ni namna gani taasi binafsi zimedhofishwa?toa mifano
 
Serikali ya wanyonge ingetoa vitambulisho bure kwa kundi hili kama lengo ni kuwasaidia wasisumbuliwe wakiwa wanafanya biashara zao.
Hiyo machine na karatasi bure vingetoka wapi ?? Let us be realistic!! Na je huyo mjasiliamali anachangiaje pato la taifa ikiwa kulipa 1650 kwa mwezi inaonekana amekandamizwa?
 
Hiyo machine na karatasi bure vingetoka wapi ?? Let us be realistic!! Na je huyo mjasiliamali anachangiaje pato la taifa ikiwa kulipa 1650 kwa mwezi inaonekana amekandamizwa?
wangepewa vitambulisho vya kudumu ukipoteza unalipia 2,000. Hizi gharama serikali ingegharimia.
 
Kwenye mkutano wa Magufuli wamachinga msisahau kumdai hela zenu, haiwezekani aliwalazimisha kutoa 20000 baadae anasema sio lazima.
 
Vitambulisho ni wizi hasa pale walipotozwa 20000, vitambulisho havipaswi kununuliwa.chukulia mfano mama anaamua kuuza ndizi zake za buku tano, bila kiitambulisho cha 20000 haruhusiwi kuuza, huu ni unyanyasaji
 
Vitambulisho ni wizi hasa pale walipotozwa 20000, vitambulisho havipaswi kununuliwa.chukulia mfano mama anaamua kuuza ndizi zake za buku tano, bila kiitambulisho cha 20000 haruhusiwi kuuza, huu ni unyanyasaji
Nahisi hujaenda shule au mnaamua kuwa wabishi
 
Hiyo machine na karatasi bure vingetoka wapi ?? Let us be realistic!! Na je huyo mjasiliamali anachangiaje pato la taifa ikiwa kulipa 1650 kwa mwezi inaonekana amekandamizwa?
Kwa hiyo ilikuwa sahihi Mama Ntilie kununua kitambulisho cha ujasiriamali pamoja na waosha vyombo wake? Nani Mjasiriamali mwajiri? Watumishi? Au wote?
 
Nashukuru kwa comments nzuri.lakini waweza kufafanua ni namna gani taasi binafsi zimedhofishwa?toa mifano

Ukitaka kujua mateso wanayopitia private secta fungua hata kamgahawa tuu.

Nilikuwa sijui kwa nini biblia inaonyesha watoza ushuru wana walakini ndiyo nilielewa baada ya kuwafahamu TRA.

Yaani ni hivi,serikali haijawahi kuwasaidia wafanyabiashara wanaoanza,yaani ukianza tu biashara hata kabla ya kujua kama utapata faida,mara manispaa hao!,afya hao!,zimamoto hao! yaani hakuna dawati la kuwasaidia kulea biashara zinazoanza ili zikuwe ziweze kuzalisha ajira na mapato mengine.Mifumo ndiyo mbaya.mfano,hawa wajasiliamali walitakiwa kwanza waanze kwa kulipiwa hizo vitambulisho ili kuwavutia wengi waingie kwenye ujasiria mali.halafu baadaye sasa mitaji yao ikishakua waanze kutozwa kidogo kidogo.wewe fikiria pamoja na janga la covid-19.hakuna ahueni yoyote ya kikodi iliyotolewa na serkali kwa wafanyabiashara Ili kulinda mitaji yao
 
Nahisi hujaenda shule au mnaamua kuwa wabishi
Umeshawahi kuona vitambulisho visivyo na jina au picha?. Vinakuwa vinamtambulisha nani?.

Kwa nini wasingekusanya TRA, wakawapa na risiti kutoka EFD machine, Kisha mtu akaiprint isifutike?.

Kwa nini kama vinawasaidia Magufuli akili kuwa sio lazima kuwa nacho, huku tukijua ulazima uliolazimishwa?.

Jaribu uchukulie hivyo vitambulisho vimechukuliwa na watu million 5 nchi nzima, Kisha zidisha mara elfu 20. Inakuja takrubini 5000000×20000=100,000,000,000Tzsh.
Hii pesa yote iliingia mfuko gani?? Ilitumikaje?. Nani anaikagua matumizi yake?.

Kwa nini nchi yetu isijifunze kutoka Ghana, watu kama machinga,mama ntilie na wafanyabiashara wadogo hawalipi kodi, serikali inawalea ili waje kuwa wafanyabiashara wakati, ndio waanze kulipa kodi kwa nini tusijifunze kwa hao?.

Tatizo wewe umewaza elfu 20 yamtu mmoja, ukasahau kuwaza kuwa hio ikikusanywa kwa zaidi yawatu mill 10 nizaidi ya tril 2 ambayo nipesa nyingi sana. Na ambayo hatujui inaenda wapi.
 
Vitambulisho unatoa hela wal hupewi risiti..halafu hakina hata picha..wengi walikua wanabadilishana tu..kimsingi imeonelana kama wizi wa aina fulani..


#MaendeleoHayanaChama

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Jiwe amenipa kazi kubwa kumshawishi mke wangu akapige kura, sasa sijui kama atampigia jiwe, kisa hela ya ufuta na mbaazi, ila bado namtaka akachague tu, ila sina uhakika kama atampa jiwe!
 
Jiwe amenipa kazi kubwa kumshawishi mke wangu akapige kura, sasa sijui kama atampigia jiwe, kisa hela ya ufuta na mbaazi, ila bado namtaka akachague tu, ila sina uhakika kama atampa jiwe!
Bado wale wa korosho sijui walilipwa wote!
 
Kuwa mpinzani haimaanishi kupinga kila kitu tuu, Mimi hivi vitambulisho naviona ni msaada mkubwa sana kwa wajasiriamali tena saana.
 
Umeshawahi kuona vitambulisho visivyo na jina au picha?. Vinakuwa vinamtambulisha nani?.

Kwa nini wasingekusanya TRA, wakawapa na risiti kutoka EFD machine, Kisha mtu akaiprint isifutike?.

Kwa nini kama vinawasaidia Magufuli akili kuwa sio lazima kuwa nacho, huku tukijua ulazima uliolazimishwa?.

Jaribu uchukulie hivyo vitambulisho vimechukuliwa na watu million 5 nchi nzima, Kisha zidisha mara elfu 20. Inakuja takrubini 5000000×20000=100,000,000,000Tzsh.
Hii pesa yote iliingia mfuko gani?? Ilitumikaje?. Nani anaikagua matumizi yake?.

Kwa nini nchi yetu isijifunze kutoka Ghana, watu kama machinga,mama ntilie na wafanyabiashara wadogo hawalipi kodi, serikali inawalea ili waje kuwa wafanyabiashara wakati, ndio waanze kulipa kodi kwa nini tusijifunze kwa hao?.

Tatizo wewe umewaza elfu 20 yamtu mmoja, ukasahau kuwaza kuwa hio ikikusanywa kwa zaidi yawatu mill 10 nizaidi ya tril 2 ambayo nipesa nyingi sana. Na ambayo hatujui inaenda wapi.
Mkuu umenena kweli kabisa. Bado zile fedha za tetemeko kule kagera hatujui ni sh ngapi na zilienda wapi.
Yani awamu hii mifereji ya kupiga pesa za watu ilikua nje nje.
 
Umeshawahi kuona vitambulisho visivyo na jina au picha?. Vinakuwa vinamtambulisha nani?.

Kwa nini wasingekusanya TRA, wakawapa na risiti kutoka EFD machine, Kisha mtu akaiprint isifutike?.

Kwa nini kama vinawasaidia Magufuli akili kuwa sio lazima kuwa nacho, huku tukijua ulazima uliolazimishwa?.

Jaribu uchukulie hivyo vitambulisho vimechukuliwa na watu million 5 nchi nzima, Kisha zidisha mara elfu 20. Inakuja takrubini 5000000×20000=100,000,000,000Tzsh.
Hii pesa yote iliingia mfuko gani?? Ilitumikaje?. Nani anaikagua matumizi yake?.

Kwa nini nchi yetu isijifunze kutoka Ghana, watu kama machinga,mama ntilie na wafanyabiashara wadogo hawalipi kodi, serikali inawalea ili waje kuwa wafanyabiashara wakati, ndio waanze kulipa kodi kwa nini tusijifunze kwa hao?.

Tatizo wewe umewaza elfu 20 yamtu mmoja, ukasahau kuwaza kuwa hio ikikusanywa kwa zaidi yawatu mill 10 nizaidi ya tril 2 ambayo nipesa nyingi sana. Na ambayo hatujui inaenda wapi.
Weka humu mfano wa kitambulisho.
 
Weka humu mfano wa kitambulisho.
Hujaviona hata vitambulisho, nahavina jina wala picha, wala tin no.

Halafu naona umekwepa kujibu masuali.

Screenshot_20200926-151224~2.png
 
Back
Top Bottom