Hivi ni kweli "kwenda chumvini" kunasababisha meno kuuma?

loosimingori

JF-Expert Member
Joined
Oct 30, 2017
Posts
920
Reaction score
1,145
Kwa muda wa takribani cku 5 zilizopita hadi sasa ninasumbuliwa na maumivu ya jino ila baada ya kukutana na doctor m1 nikaelezwa kuwa 1wapo ya matatizo ya maumivu ya meno ni kwenda chumvini haswa ikiwa mwanamke anayefanyiwa hivyo ni mchafu sehemu husika kiasi kwamba anakuwa na bacteria ambao hubaki kwenye mdomo wa mtendaji na kuanza kutoboa meno.Naomba madentist proffesionals mnisaidie kunielimisha kama kuna ukweli wowote juu ya hili
 
Sio meno kuuma tu wanasema na kansa eti[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Endeleeni kwani mtakapougua kansa mtakua na Mimi [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] eti unanijibu kishujaa kabisa kwenye kuhatarisha afya yako mwenyew
 
Endeleeni kwani mtakapougua kansa mtakua na Mimi [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] eti unanijibu kishujaa kabisa kwenye kuhatarisha afya yako mwenyew
umejiuje kama ni kishujaa wakati huenda hampo pamoja au una maono ya kujua mwandiko wa kishujaa
 
Endeleeni kwani mtakapougua kansa mtakua na Mimi [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] eti unanijibu kishujaa kabisa kwenye kuhatarisha afya yako mwenyew
kufa sio dhambi,kila mtu atakufa tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…