Hivi ni kweli MABAUNSAaa....

Hivi ni kweli MABAUNSAaa....

ha ha haaaa.. Hv ni kweli asilimia kubwa ya hawa ndugu zetu wenye miili mikubwaa (mabaunsa) au kwa jina lingine mabode wanakuaga na maumbile madogo ya siri (mikia ya pilipili).

Na ubabe wote walionao lakini down town chakaaa.... Ha ha haa

NOTE: Msemo(mkia wa pili pili) nimeitroduce mimi kwa mara ya kwanza. Haujawai kuskika popote.

T.Tembo
Wakague
 
Kawatengee wafumue rinda na usisahau mrejesho ukiambatana na tupicha baada ya expiriment
 
ha ha haaaa.. Hv ni kweli asilimia kubwa ya hawa ndugu zetu wenye miili mikubwaa (mabaunsa) au kwa jina lingine mabode wanakuaga na maumbile madogo ya siri (mikia ya pilipili).

Na ubabe wote walionao lakini down town chakaaa.... Ha ha haa

NOTE: Msemo(mkia wa pili pili) nimeitroduce mimi kwa mara ya kwanza. Haujawai kuskika popote.

T.Tembo
Weka jina lako halisi ili msemo wako na jina la alie anzisha viwekwe kwenye kumbukumbu mimi nipo bakita hapa.

Alafu unaishi mbezi beach nyumba namba ngapi?
 
nyuzi zingine ni za wadada kabisa, ndio maana wanaume wa dar mnasemwa sana kwa sababu ya kuingilia mambo ya dada zenu asa we mkia pilipili unakuhusu nn
 
Back
Top Bottom