Hivi ni kweli mlevi huwa harogeki?

Jamaa yangu mmoja alikua tapeli sana watu aliwaotapeli walikua wana mtishia kumroga..sasa ..muda wote alikua anashinda amelewa na si kawaida yake..kuumuliza akasema anakunywa ili asirogeke..
 
Jamaa yangu mmoja alikua tapeli sana watu aliwaotapeli walikua wana mtishia kumroga..sasa ..muda wote alikua anashinda amelewa na si kawaida yake..kuumuliza akasema anakunywa ili asirogeke..
Duh hatari
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…