Jamani mtu anaweza kufanya mapenzi na mwanamke mwenye UKIMWI kama mara tano asipate?Baada ya kugundua mwanamke kaathirika alienda kupima ila alikutwa negative?
Pia nauliza tena kuambukizwa kisonono kwa mwanamme ni rahisi kuliko ukimwi? Na je mwenye group la damu O Negative hawezi kuambukizwa UKIMWI?
Jamani naombeni jibu sahihi ili kujifunza zaidi na sio kusanifu, nasubiri.